Hajto
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 5,595
- 5,488
Duh,kazi ipo hapoMoja
Duh,kazi ipo hapoMoja
Mbona utumishi waliitw watu elfu moja mia tisa kwa kazi mbili ?Duh,kazi ipo hapo
Sio moja boss ni 17 zinagombewaMoja
Tatizo kujilipua kutoa simu exams room/venue ni inahitaji roho ya ziada na kujitoa tehNajua leo ndyo wanapiga aptitude test mipango atakayefanikiwa kuipiga picha aitupie hapa tuone sample
Wabishi wanapiga haswa wakati wa kwenda kukusanya kwenye foleniTatizo kujilipua kutoa simu exams room/venue ni inahitaji roho ya ziada na kujitoa teh
Wabishi wanapiga haswa wakati wa kwenda kukusanya kwenye foleni
napenda nione population iliyo-attend kwenye hiyo interview, mie nimepata taarifa mda umeenda, imeniwia vigumu kufika.Najua leo ndyo wanapiga aptitude test mipango atakayefanikiwa kuipiga picha aitupie hapa tuone sample
Tuliitwa 211, so kama mimi sikufika watakuwa wamesalia 210. cetaperibusNgoja watoke kama wewe uliitwa na hukwenda basi waliohudhulia ni 199 mpaka sasa. Mnazid pungua
Kwa hiyo uliitwa hukwendanapenda nione population iliyo-attend kwenye hiyo interview, mie nimepata taarifa mda umeenda, imeniwia vigumu kufika.
nawatakia kila la kheli.
Duh heat period tena mkuuBado kila mtu yupo kwenye heat period
Duh heat period tena mkuu
Kutoka kikaangoni sio mchezo najua wale waliofuzu huto waona kuleta mrejesho hapa ila wale ambao hawakufuzu watakuja lalamika hapaDuh heat period tena mkuu