Katika hali inayoonyesha kuzidi kung'aa kwa nyota ya John Heche Kisiasa, kwa mara nyingine tena wakazi wa jimbo la uchaguzi la Tarime mkoani Mara wamemuomba kijana wao huyo agombee Ubunge jimboni humo kwasababu ni kijana wanayemuamini sana katika kupambana na udhalimu katika kipindi hiki cha ukombozi mpya wa Taifa hili.
Hayo yote yameonekana katika kipindi chote ambacho Heche amekuwa katika harakati za kisiasa hapa nchini, tangu akiwa mwenyekiti wa BAVICHA na mpaka sasa.
Vyombo mbalimbali vya habari ikiwemo magazeti na mitandao ya kijamii imewanukuu wananchi wa Tarime wakimuomba kijana wao huyo kulinyakua jimbo hilo bila kusita.
Hayo yote yameonekana katika kipindi chote ambacho Heche amekuwa katika harakati za kisiasa hapa nchini, tangu akiwa mwenyekiti wa BAVICHA na mpaka sasa.
Vyombo mbalimbali vya habari ikiwemo magazeti na mitandao ya kijamii imewanukuu wananchi wa Tarime wakimuomba kijana wao huyo kulinyakua jimbo hilo bila kusita.