TARIME: Walimu S/Sekondari Mogabiri wanafundisha chuo cha Utalii na kituo cha Tuition muda wa kazi

NJALI

JF-Expert Member
Jan 9, 2014
1,534
1,090
Hii shule ipo Halmashauri ya Mji Tarime, ni shule ambayo ufaulu wake ni hafifu sana, lakini kuna tatizo la kiutawala na la kitaaluma.

1.Walimu wanafundisha vituo viwili muda wa kazi, chuo cha utalii na kituo cha Tuition kinaitwa Paradise tuition centre.

Sasa hata kama hii nchi ina kiongozi ambaye wanamdharau kwanini wasifanye haya nje ya muda wa kazi? Kwanini iwe muda wa kazi? Je, kauli mbiu ya haki na wajibu wa CWT ndio inatekelezwa?

Prof. Ndalichako, Simbachawene msaidieni Rais kuzuia tabia hii chafu. Mimi kama mzazi wa mwanafunzi anayesoma Mogabiri sekondari imeniuma sana.

Sijui kama hii shule ipo Tanzania kweli kwa Magufuli au iko Kenya kwa Uhuru.

........
Hii shule IPO Tarime MJINI, walimu wake wanalipwa na serikali, ila mambo yake yalivyo ni kama private school.

1.Walimu watatu walikaa chumbani wakaja na maazimio ya kupandisha ada ya Hosteli. Licha ya mbunge Esther Matiko kuliongea hili bungeni lakini hakuna aliewajibishwa!!!!!!

2. Kupata nafasi hosteli hadi utoe kitu kidogo!!! Cha kushangaza hosteli zimejengwa na wazazi!!

3. Darasa jipya limejengwa kwa Tope!! Anae bisha aje ajionee mwenyewe msingi wote WA darasa jipya linalojengwa ni tope!!! Hakuna simenti oliyowekwa!! Mkurugenzi Elias Ntilihungwa alihoji akazimishwa!!! Ujenzi unaendelea!!!

4. Shule hii mwanafunzi akipigwa na mwanafunzi mwenziwe anapeleka kesi polisi!!! Hata walimu hawajulishwi,!! Hadi sasa kuna kesi mbili, ya alie UA MWenziwe mwaka Jana kwa kumkaba koo!! Nyingine MPYA ya wiki Jana iko polisi bila utawala kujulishwa,!!

Walimu wanafundisha vituo zaidi ya kimoja muda WA kazi!! PARADISE TUITION CENTRE WAPO!!!, UTALII COLLEGE KARIBU NA SHULE WAPO!!!

5 .MAPATO NA MATUMIZI HAYASOMWI, MWALIMU AKIHOJI ANAHAMISHWA, KUTISHWA, AU KUNYIMWA FURSA KAMA NYUMBA NA FURSA ZINGINE!!!

TAMISEMI FUATILIENI HILI, PITIENI RIPOTI YA UKAGUZI YA MWAKA JANA, UTAONA KILICHO ANDIKWA, HAKUNA MAJUNGU NI UKWELI MTUPU NILIO ANDIKA.

SINA CHEO, WALA SIHITAJI, NI RAIA MWEMA JIRANI NA SHULE, PIA NINA MWANAFUNZI PALE
 
Pole mzee wangu... Mogabiri nimewamiss hao vijana nikiwa Tarime boys advance wamekuja sana UMISSETA... Anyway mpeleke Rebu au Nkende Huyo kijana...
 
Kwa ufupi wewe una kiherehere! Kama unaona hatufundishi umeshindwa nini kumhamisha huyo wako? Kwani tulikulazimisha umlete hapa mtoto wako? (In Magufuli's voice)


Nimejikuta nacheka kwa dharura maana kauli na hiyo profile image ni kama vinaashiria jambo
 
Wewe kama kweli ni mzazi utakuwa hujielewi.Mimi ni mlezi mbona utawala wa Magudira mkuu wa shule hauna shida?Chuki binafsi mtafute kwa lingine mzazi
 
Wewe kama kweli ni mzazi utakuwa hujielewi.Mimi ni mlezi mbona utawala wa Magudira mkuu wa shule hauna shida?Chuki binafsi mtafute kwa lingine mzazi

Hana lolote huyu. Kuharibiana na kuchafuana.
Kama Bashite vile.....
 
Hii shule ipo Halmashauri ya Mji Tarime, ni shule ambayo ufaulu wake ni hafifu sana, lakini kuna tatizo la kiutawala na la kitaaluma.

1.Walimu wanafundisha vituo viwili muda wa kazi, chuo cha utalii na kituo cha Tuition kinaitwa Paradise tuition centre.

Sasa hata kama hii nchi ina kiongozi ambaye wanamdharau kwanini wasifanye haya nje ya muda wa kazi? Kwanini iwe muda wa kazi? Je, kauli mbiu ya haki na wajibu wa CWT ndio inatekelezwa?

Prof. Ndalichako, Simbachawene msaidieni Rais kuzuia tabia hii chafu. Mimi kama mzazi wa mwanafunzi anayesoma Mogabiri sekondari imeniuma sana.

Sijui kama hii shule ipo Tanzania kweli kwa Magufuli au iko Kenya kwa Uhuru.
Tangu watu mjue kuwa serikali ya awamu hii haina busara wala hekima basi mmekuwa wambea wambea na waongo, wanafiki na wakutupwa si wanawake wala wanaume.

Huenda hapo utakuwa emejisemea mwenyewe au amewambia wajinga wenzio kuwa ngoja nikawachome jamii forum hawa, aisee wivu kitu kibaya sana
 
Hii shule ipo Halmashauri ya Mji Tarime, ni shule ambayo ufaulu wake ni hafifu sana, lakini kuna tatizo la kiutawala na la kitaaluma.

1.Walimu wanafundisha vituo viwili muda wa kazi, chuo cha utalii na kituo cha Tuition kinaitwa Paradise tuition centre.

Sasa hata kama hii nchi ina kiongozi ambaye wanamdharau kwanini wasifanye haya nje ya muda wa kazi? Kwanini iwe muda wa kazi? Je, kauli mbiu ya haki na wajibu wa CWT ndio inatekelezwa?

Prof. Ndalichako, Simbachawene msaidieni Rais kuzuia tabia hii chafu. Mimi kama mzazi wa mwanafunzi anayesoma Mogabiri sekondari imeniuma sana.

Sijui kama hii shule ipo Tanzania kweli kwa Magufuli au iko Kenya kwa Uhuru.
Acha unoko dogo watu wanatafuta maisha we unaleta unyoko hapa
 
Hii shule IPO Tarime MJINI, walimu wake wanalipwa na serikali, ila mambo yake yalivyo ni kama private school.

1.Walimu watatu walikaa chumbani wakaja na maazimio ya kupandisha ada ya Hosteli. Licha ya mbunge Esther Matiko kuliongea hili bungeni lakini hakuna aliewajibishwa!!!!!!

2. Kupata nafasi hosteli hadi utoe kitu kidogo!!! Cha kushangaza hosteli zimejengwa na wazazi!!

3. Darasa jipya limejengwa kwa Tope!! Anae bisha aje ajionee mwenyewe msingi wote WA darasa jipya linalojengwa ni tope!!! Hakuna simenti oliyowekwa!! Mkurugenzi Elias Ntilihungwa alihoji akazimishwa!!! Ujenzi unaendelea!!!

4. Shule hii mwanafunzi akipigwa na mwanafunzi mwenziwe anapeleka kesi polisi!!! Hata walimu hawajulishwi,!! Hadi sasa kuna kesi mbili, ya alie UA MWenziwe mwaka Jana kwa kumkaba koo!! Nyingine MPYA ya wiki Jana iko polisi bila utawala kujulishwa,!!

Walimu wanafundisha vituo zaidi ya kimoja muda WA kazi!! PARADISE TUITION CENTRE WAPO!!!, UTALII COLLEGE KARIBU NA SHULE WAPO!!!

5 .MAPATO NA MATUMIZI HAYASOMWI, MWALIMU AKIHOJI ANAHAMISHWA, KUTISHWA, AU KUNYIMWA FURSA KAMA NYUMBA NA FURSA ZINGINE!!!

TAMISEMI FUATILIENI HILI, PITIENI RIPOTI YA UKAGUZI YA MWAKA JANA, UTAONA KILICHO ANDIKWA, HAKUNA MAJUNGU NI UKWELI MTUPU NILIO ANDIKA.

SINA CHEO, WALA SIHITAJI, NI RAIA MWEMA JIRANI NA SHULE, PIA NINA MWANAFUNZI PALE
 
duh.. upo sawa but kiutu uzima ungekausha tu ,hay maisha bna!!
 
sasa unataka tuje tushuhudie darasa la tope umeshinndwa nini kupiga picha ukaweka hapa hao walimu wamepata fulsa acha waitumie walimu wetu wana hali ngumu bajameni
 
sasa unataka tuje tushuhudie darasa la tope umeshinndwa nini kupiga picha ukaweka hapa hao walimu wamepata fulsa acha waitumie walimu wetu wana hali ngumu bajameni
Hata yeye angekuwa na elimu nzuri angeenda kufundisha, kwa vile elimu yake ni Bashite acha apige majungu.
 
Hii shule ipo Halmashauri ya Mji Tarime, ni shule ambayo ufaulu wake ni hafifu sana, lakini kuna tatizo la kiutawala na la kitaaluma.

1.Walimu wanafundisha vituo viwili muda wa kazi, chuo cha utalii na kituo cha Tuition kinaitwa Paradise tuition centre.

Sasa hata kama hii nchi ina kiongozi ambaye wanamdharau kwanini wasifanye haya nje ya muda wa kazi? Kwanini iwe muda wa kazi? Je, kauli mbiu ya haki na wajibu wa CWT ndio inatekelezwa?

Prof. Ndalichako, Simbachawene msaidieni Rais kuzuia tabia hii chafu. Mimi kama mzazi wa mwanafunzi anayesoma Mogabiri sekondari imeniuma sana.

Sijui kama hii shule ipo Tanzania kweli kwa Magufuli au iko Kenya kwa Uhuru.

........
Hii shule IPO Tarime MJINI, walimu wake wanalipwa na serikali, ila mambo yake yalivyo ni kama private school.

1.Walimu watatu walikaa chumbani wakaja na maazimio ya kupandisha ada ya Hosteli. Licha ya mbunge Esther Matiko kuliongea hili bungeni lakini hakuna aliewajibishwa!!!!!!

2. Kupata nafasi hosteli hadi utoe kitu kidogo!!! Cha kushangaza hosteli zimejengwa na wazazi!!

3. Darasa jipya limejengwa kwa Tope!! Anae bisha aje ajionee mwenyewe msingi wote WA darasa jipya linalojengwa ni tope!!! Hakuna simenti oliyowekwa!! Mkurugenzi Elias Ntilihungwa alihoji akazimishwa!!! Ujenzi unaendelea!!!

4. Shule hii mwanafunzi akipigwa na mwanafunzi mwenziwe anapeleka kesi polisi!!! Hata walimu hawajulishwi,!! Hadi sasa kuna kesi mbili, ya alie UA MWenziwe mwaka Jana kwa kumkaba koo!! Nyingine MPYA ya wiki Jana iko polisi bila utawala kujulishwa,!!

Walimu wanafundisha vituo zaidi ya kimoja muda WA kazi!! PARADISE TUITION CENTRE WAPO!!!, UTALII COLLEGE KARIBU NA SHULE WAPO!!!

5 .MAPATO NA MATUMIZI HAYASOMWI, MWALIMU AKIHOJI ANAHAMISHWA, KUTISHWA, AU KUNYIMWA FURSA KAMA NYUMBA NA FURSA ZINGINE!!!

TAMISEMI FUATILIENI HILI, PITIENI RIPOTI YA UKAGUZI YA MWAKA JANA, UTAONA KILICHO ANDIKWA, HAKUNA MAJUNGU NI UKWELI MTUPU NILIO ANDIKA.

SINA CHEO, WALA SIHITAJI, NI RAIA MWEMA JIRANI NA SHULE, PIA NINA MWANAFUNZI PALE
Kwenye ushaur wako mbona hujashaur walim walipwe mishahara mizur ili wabakie KAZINI
 
Iyo shule ilitakiwa iwepo huko islamic state...mambo gani ya kupigana roba mpaka unakunya
 
Hii shule ipo Halmashauri ya Mji Tarime, ni shule ambayo ufaulu wake ni hafifu sana, lakini kuna tatizo la kiutawala na la kitaaluma.

1.Walimu wanafundisha vituo viwili muda wa kazi, chuo cha utalii na kituo cha Tuition kinaitwa Paradise tuition centre.

Sasa hata kama hii nchi ina kiongozi ambaye wanamdharau kwanini wasifanye haya nje ya muda wa kazi? Kwanini iwe muda wa kazi? Je, kauli mbiu ya haki na wajibu wa CWT ndio inatekelezwa?

Prof. Ndalichako, Simbachawene msaidieni Rais kuzuia tabia hii chafu. Mimi kama mzazi wa mwanafunzi anayesoma Mogabiri sekondari imeniuma sana.

Sijui kama hii shule ipo Tanzania kweli kwa Magufuli au iko Kenya kwa Uhuru.

........
Hii shule IPO Tarime MJINI, walimu wake wanalipwa na serikali, ila mambo yake yalivyo ni kama private school.

1.Walimu watatu walikaa chumbani wakaja na maazimio ya kupandisha ada ya Hosteli. Licha ya mbunge Esther Matiko kuliongea hili bungeni lakini hakuna aliewajibishwa!!!!!!

2. Kupata nafasi hosteli hadi utoe kitu kidogo!!! Cha kushangaza hosteli zimejengwa na wazazi!!

3. Darasa jipya limejengwa kwa Tope!! Anae bisha aje ajionee mwenyewe msingi wote WA darasa jipya linalojengwa ni tope!!! Hakuna simenti oliyowekwa!! Mkurugenzi Elias Ntilihungwa alihoji akazimishwa!!! Ujenzi unaendelea!!!

4. Shule hii mwanafunzi akipigwa na mwanafunzi mwenziwe anapeleka kesi polisi!!! Hata walimu hawajulishwi,!! Hadi sasa kuna kesi mbili, ya alie UA MWenziwe mwaka Jana kwa kumkaba koo!! Nyingine MPYA ya wiki Jana iko polisi bila utawala kujulishwa,!!

Walimu wanafundisha vituo zaidi ya kimoja muda WA kazi!! PARADISE TUITION CENTRE WAPO!!!, UTALII COLLEGE KARIBU NA SHULE WAPO!!!

5 .MAPATO NA MATUMIZI HAYASOMWI, MWALIMU AKIHOJI ANAHAMISHWA, KUTISHWA, AU KUNYIMWA FURSA KAMA NYUMBA NA FURSA ZINGINE!!!

TAMISEMI FUATILIENI HILI, PITIENI RIPOTI YA UKAGUZI YA MWAKA JANA, UTAONA KILICHO ANDIKWA, HAKUNA MAJUNGU NI UKWELI MTUPU NILIO ANDIKA.

SINA CHEO, WALA SIHITAJI, NI RAIA MWEMA JIRANI NA SHULE, PIA NINA MWANAFUNZI PALE

sasa wewe hata ukilalama huku ndio walimu watafutwa kazi ndo ufurah ungekuwa muungwana ungeenda kwao uwapige marufuku waache hayo ulivyoshindwa na kukosa ustarabu. Usitangaze vita wakati mkononi unamanati ya tube la baiskel tena chakavu
 
Back
Top Bottom