Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,753
- 218,347
Ifike mahali sasa Chadema nayo ipewe Nchi tu , hakuna namna yoyote tena ya kuwakwepa , Wana watu nyuma yao .
Naweza kuthibitisha kwamba hakuna kiongozi yoyote wa Tanzania aliyewahi kupata mapokezi kama haya waliyopewa hawa Chadema leo hii huko Tarime, Hakuna.
Sasa sijui hali hii imeletwa na kuongezeka kwa idadi ya watu ama la ! Bali itoshe tu kusema Mapokezi ya Tarime kwa Chadema ni Balaa
Hii aione Mamluki mmoja humu anaitwa mapessa , tumeona unachukua uchafu wa Maulid Kitenge na kujaribu kudanganya watu humu JF, huwezi kushindana na Chadema kuhusu Nyomi , Muulizeni Chongolo kilichomkimbiza Majukwaani .
Hii ni Nyamongo jioni hii
Hapa ni Sirari mapema kidogo
Hutakiwi kuondoka JF Muda huu , maana ndio kwanza tumeanza
=======
Tarime Mjini
Naweza kuthibitisha kwamba hakuna kiongozi yoyote wa Tanzania aliyewahi kupata mapokezi kama haya waliyopewa hawa Chadema leo hii huko Tarime, Hakuna.
Sasa sijui hali hii imeletwa na kuongezeka kwa idadi ya watu ama la ! Bali itoshe tu kusema Mapokezi ya Tarime kwa Chadema ni Balaa
Hii aione Mamluki mmoja humu anaitwa mapessa , tumeona unachukua uchafu wa Maulid Kitenge na kujaribu kudanganya watu humu JF, huwezi kushindana na Chadema kuhusu Nyomi , Muulizeni Chongolo kilichomkimbiza Majukwaani .
Hii ni Nyamongo jioni hii
Hapa ni Sirari mapema kidogo
Hutakiwi kuondoka JF Muda huu , maana ndio kwanza tumeanza
=======
Tarime Mjini