Niliwah kuwa na mwanaume wa tarime, siyo waaminifu kabisa.
No,no no....
Ni Kweli kaka watu wa tarime ni wastarabu sana isipokuwa yanayosemwa mengi ni perceptions za mtu binafsi.Na hiyo ipo kila mahali Duniani .Utaskia Wahaya wako hivi, Wahehe wanajiiiiii,Wagogoo nao Mhiiiii nk So haya ni Maono tiu ya watu hakikisha mwenyewe.Karibu Tarime.
ningesema kitu
ila acha ninyamaze
kulinda mahusiano ya jamii
Niliwah kuwa na mwanaume wa tarime, siyo waaminifu kabisa.
mmmmh!
Mbona hajasema wakitakaga unyumba kwa wanawake zao wanasemaje? Ha ha ha, rara chini nikurenge!
mbona hujazungumzia kale katabia chenu cha wanawake wanaoa wanawake wenzao funguka mkuu
Kaunga nazungumzia mabinti......vipi haoNinafahamu kwa ukaribu wanaume 3 wa Taaarime, mmoja alimuoa dada yangu (I wish asingeolewa naye maana alitaka kumbaka mdogo wetu wa ukoo), wa pili alimuoa rafiki yangu wameshatengana na rafiki yangu anatafuta talaka (full abuse na insecurity kwani ni mwela na mdada ana ilmu na fweza), watatu ni mfanyakazi mwenzetu a real gentleman ingawa akikusimulia story za kaka zake utasikitika!
Ninafahamu kwa ukaribu wanaume 3 wa Taaarime, mmoja alimuoa dada yangu (I wish asingeolewa naye maana alitaka kumbaka mdogo wetu wa ukoo), wa pili alimuoa rafiki yangu wameshatengana na rafiki yangu anatafuta talaka (full abuse na insecurity kwani ni mwela na mdada ana ilmu na fweza), watatu ni mfanyakazi mwenzetu a real gentleman ingawa akikusimulia story za kaka zake utasikitika!