Tarime: Mahusiano na mapenzi - Usioyajua.......

Tarime: Mahusiano na mapenzi - Usioyajua.......

platozoom

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2012
Posts
9,548
Reaction score
11,517
Ni wilaya ilioko kaskazini magharibi mwa nchi hii -Tarime.Kuna story nyingi kuhusu wilaya hii hasa kunapohusika suala la mapenzi/Mahusiano.

Watu wa Tarime wanajua kupenda na hiyo haijalishi mtu anaishi Tarime kama mzawa au mhamiaji.Maadam ni mwanatarime basi lazima ataakisi tabia njema za Tarimeville. Najua wengi wanachofikiri ni vipigo kwa wanawake vinavyotangazwa kwenye vyombo vya habari,lakini hilo tone la kibaba cha chumvi ndani ya bahari!

Wanaume wana character za kiume zilizokamilika - "sio too emotional" wanajua position zao kama mwanaume uliekamilika:
1.Hawalilii uhusiano unapovunjika
2.Hulinda mahusiano yao (huwezi kutia pua kwenye ndoa yake kama unapenda kuishi).
3.Wachapa kazi
4.Wana msimamo (hii inahitajika sana hasa kwa mwenzi asiyeeleweka au kicheche).
5.Wanajua timetable kunakohusika ngono (fast,energy and perfomance).
6.Huchukua maamuzi sahihi kwa wakati sahihi.

Wanawake nao safi sana na hizi ni sehemu ya sifa zao;
1.Wavumilivu
2.Wachapa kazi
3.wanajiheshimu
4.Hawana wivu wa kijinga
5.N.k

Nenda Tarime ukajionee mwenyewe na hautojuta kumpata mwandani wako.
I miss my birth place.
 
Sijajua hizi philosophy za mapenzi na maeneo au makabila zinatokea wapi. Love lies within somebody's

heart and not a tribe or a birthplace. When its not there ur tribe or birthplace cant bring it. All these

factors perform a shaping role. They cant be conclusive as u want us to believe! Maana haiwezekani

mtu na moyo wake mgumu afike Tarime halafu abadilishwa na mazingira aanze kuwa na moyo wa

kupenda!
 
ndo huko wanakoongoza kwa kukeketa wanawake? Au ni sehemu gani vile?
 
Mmmh, good marketing strategy. Hebu weka picha zao tuone kama wanalipa!
 
Nitafanya uchunguzi ingawa kwa baadhi ya vitu naona vina ukweli
 
Niliwah kuwa na mwanaume wa tarime, siyo waaminifu kabisa.
 
Muraa wacha bana hawabendi karara kabisa ira kura wanakura bana
 
Muraa wacha bana hawabendi karara kabisa ira kura wanakura bana

Mbona hajasema wakitakaga unyumba kwa wanawake zao wanasemaje? Ha ha ha, rara chini nikurenge!
 
Sijajua hizi philosophy za mapenzi na maeneo au makabila zinatokea wapi. Love lies within somebody's

heart and not a tribe or a birthplace. When its not there ur tribe or birthplace cant bring it. All these

factors perform a shaping role. They cant be conclusive as u want us to believe! Maana haiwezekani

mtu na moyo wake mgumu afike Tarime halafu abadilishwa na mazingira aanze kuwa na moyo wa

kupenda!

kama wewe ulivyosema hujui philisophy ya mapenzi nami nitasema sijui kwa nini Tandika kuna vibaka wengi ama kwa nini watu hawapendi watoto wao wacheze mitaa fulani kwa hoja kuwa wataharibiwa tabia.Ukiishi mahali fulani kwa muda utaathiriwa na tabia au mwenendo fulani na hiyo ni positevely or negatively kama ambavyo wasukuma husifiwa kwa upole wao.

Moyo na fikra ni kama CD amabyo haijajaa nyimbo kila wakati hurekodi nyimbo mbaya au nzuri kutokana na unachokipenda.
 
Back
Top Bottom