GE2025 Tarimba: Kiongozi wa nchi lazima aheshimiwe, asidharauliwe, sisi tupo kumlinda

GE2025 Tarimba: Kiongozi wa nchi lazima aheshimiwe, asidharauliwe, sisi tupo kumlinda

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

PAYE

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2025
Posts
354
Reaction score
395
Mgombea Ubunge Jimbo la Kinondoni kupitia CCM, Abbas Tarimba amesema hawezi kukaa kimya atakapoona kuna watu wanamkosea heshima kiongozi wa nchi.

Soma: Tarimba: Wananchi ndio wenye mamlaka yakutoa viongozi

Tarimba ametoa kauli hiyo leo Oktoba 21, kwenye mkutano wa kampeni za mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM , Dk Samia Suluhu Hassan uliofanyika Kinondoni jijini Dar es Salaam.

 
Kudai haki ni "maneno maneno"?! Of course matusi hayafai dhidi ya mtu yeyote, lakini sisi tunaodai haki za msingi kwamba uchaguzi uahirishwe Tundu Lissu aachiwa tume ya uchaguzi ifanyiwe marekebisho haya sio "maneno maneno" wala Katiba sio "kijitabu tu"
 
In a monarchy maybe....; lakini kwenye Demokrasia (Nguvu ya Umma) Wenye Nchi ndio Maboss na Heshima ni kitu cha bure kila mtu anastahili heshima na kuheshimiwa - Na kukumbushwa wajibu sio kukosewa Heshima bali ni Civic Duty ya Mlipa Kodi
 
Vipi kiongozi anapowakosea heshima wananchi na kujimilikisha rasilimali na mali zao, kutumia hovyo kodi zao. Wakipinga anawateka, kuwatesa na kuwapoteza.

Nani wa kuwalinda wananchi na kumuwajibisha kiongozi Jambazi, fisadi kuu?

Ilitakiwa kuwa bunge, mahakama kufanya hiyo kazi lakini wote bungeni mmegeuka kuwa chawa wa Samia.
 
Kama hivyo wasingemruhusu Le mutuz za kizimbabwe apige zile picha,
 
Back
Top Bottom