Kila chuo kina tarehe yake, ita depend wap, ila huwa haitofautian saaana kupita mwez, sana zinatofautian week 1 au 2 au max 3, na sana huwa week ya 3 ya mwez wa 10, hapo vyuo vingi vinaanza usajili. Hope nimekujibu Japo kwa 50%.
Kila chuo kina tarehe yake, ita depend wap, ila huwa haitofautian saaana kupita mwez, sana zinatofautian week 1 au 2 au max 3, na sana huwa week ya 3 ya mwez wa 10, hapo vyuo vingi vinaanza usajili. Hope nimekujibu Japo kwa 50%.
Kwa kuongezea, tcu wakishakupangia chuo wao kaz yao inakuwa ishaisha, so utakuwa unafanya consultation na chuo husika wao ndo watawandikia kupitia website yao, lin m report, muende na nin na mefanye nin.
Dah vijana wana ham kweli, nakumbuka na mimi nilikua na mzuka kama hivi miaka miwili iliyopita ila sasa hv hoiii sina hamu tena najuuta kuchagua course ndefu.
Dah vijana wana ham kweli, nakumbuka na mimi nilikua na mzuka kama hivi miaka miwili iliyopita ila sasa hv hoiii sina hamu tena najuuta kuchagua course ndefu.
Mleta Mada sijakuelewa unamaanisha vyuo vipi maana Kuna certificate,diploma na chuo kikuu. Kwa upande wa chuo kikuu Kuna kitu kinaitwa bodi ya mikopo na wao Wana mamlaka ya kupanga tareh ya wanafunzi kuripot chuo. Kumbuka last year vyuo vikuu waliambiwa waongeza tareh za kufungua chuo mpka mchakato wa mkopo kwa wanafunz ukamilika, mwanafunz atakapo enda kuripot basi mkopo wake haukute chuo na siyo kuanza kusubiria HAPA KAZI TU
Dah vijana wana ham kweli, nakumbuka na mimi nilikua na mzuka kama hivi miaka miwili iliyopita ila sasa hv hoiii sina hamu tena najuuta kuchagua course ndefu.