Tarehe 9 Desemba nitaungana na wale wote wanaotaja kumng'oa mkoloni mweusi

Tarehe 9 Desemba nitaungana na wale wote wanaotaja kumng'oa mkoloni mweusi

mo29

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2025
Posts
314
Reaction score
408
Mwalimu wangu wa kiswahili shule ya msingi alinifundisha neno hili linatumika mara nyingi kama unaagana pasipo majaaliwa ya kuonana Tena, mfano unaenda vitani.

Tarehe 9 Desemba nitaungana na wale wote wanaotaja kumng'oa mkoloni mweusi anayejificha kwa kivuli Cha Ccm.

Nitashiriki kikamilifu kuipambania Tanganyika safari ambayo inaweza kusitisha uhai wangu au kunipatia kilema Cha kudumu.

Nakwenda bila kushawishiwa na mtu bali kwa mapenzi yangu kwa Tanganyika na kuondoa usultani uliojitokeza.
Aluta Continua
 
VYOMBO VYA ULINZI RUVUMA VYAUNGANA KUHAKIKISHA JAMII ZINAENDELEA KUWA SALAMA

Jeshi la Polisi Mkoa wa Ruvuma kwa Kushirikiana na maafisa na askari toka vyombo vya ulinzi na Usalama Ruvuma limefanya matembezi (Route match) na mazoezi ya pamoja kwa lengo la kujenga mahusiano mazuri baina ya Majeshi pamoja na kuimarisha afya ya mwili na akili.

Matembezi hayo yamefanyika Disemba 04, 2025 katika maeneo yote ya Manispaa ya Songea na viunga vyake yakihusisha matembezi na kukimbia baina ya askari hao.

Mazoezi na kushirikiana baina ya Vyombo vya Ulinzi na Usalama Mkoa wa Ruvuma imekuwa ni desturi lengo likiwa kuwaakutanisha pamoja na kubadilishana mambo mablimbali ya kiutendaji na kuwa tayari kukabiliana na changamoto yoyote itakayotokea mbele

#halisimax #halisinewsflash
1765056201745.jpg
 
Mwalimu wangu wa kiswahili shule ya msingi alinifundisha neno hili linatumika mara nyingi kama unaagana pasipo majaaliwa ya kuonana Tena, mfano unaenda vitani.

Tarehe 9 Desemba nitaungana na wale wote wanaotaja kumng'oa mkoloni mweusi anayejificha kwa kivuli Cha Ccm.

Nitashiriki kikamilifu kuipambania Tanganyika safari ambayo inaweza kusitisha uhai wangu au kunipatia kilema Cha kudumu.

Nakwenda bila kushawishiwa na mtu bali kwa mapenzi yangu kwa Tanganyika na kuondoa usultani uliojitokeza.
Aluta Continua
Ndio nipo kibaha nitashuka shekilango
 
VYOMBO VYA ULINZI RUVUMA VYAUNGANA KUHAKIKISHA JAMII ZINAENDELEA KUWA SALAMA

Jeshi la Polisi Mkoa wa Ruvuma kwa Kushirikiana na maafisa na askari toka vyombo vya ulinzi na Usalama Ruvuma limefanya matembezi (Route match) na mazoezi ya pamoja kwa lengo la kujenga mahusiano mazuri baina ya Majeshi pamoja na kuimarisha afya ya mwili na akili.

Matembezi hayo yamefanyika Disemba 04, 2025 katika maeneo yote ya Manispaa ya Songea na viunga vyake yakihusisha matembezi na kukimbia baina ya askari hao.

Mazoezi na kushirikiana baina ya Vyombo vya Ulinzi na Usalama Mkoa wa Ruvuma imekuwa ni desturi lengo likiwa kuwaakutanisha pamoja na kubadilishana mambo mablimbali ya kiutendaji na kuwa tayari kukabiliana na changamoto yoyote itakayotokea mbele

#halisimax #halisinewsflashView attachment 3512486
Ukiwa huna cheo jeshini huwi chombo unakua bakuli.

Kutwa kucha una tembezwa kama chizi asiye na uelekeo wala kujali muda.
 
Mwalimu wangu wa kiswahili shule ya msingi alinifundisha neno hili linatumika mara nyingi kama unaagana pasipo majaaliwa ya kuonana Tena, mfano unaenda vitani.

Tarehe 9 Desemba nitaungana na wale wote wanaotaja kumng'oa mkoloni mweusi anayejificha kwa kivuli Cha Ccm.

Nitashiriki kikamilifu kuipambania Tanganyika safari ambayo inaweza kusitisha uhai wangu au kunipatia kilema Cha kudumu.

Nakwenda bila kushawishiwa na mtu bali kwa mapenzi yangu kwa Tanganyika na kuondoa usultani uliojitokeza.
Aluta Continua
Sijawahi kupoteza pambano tarehe 29.10.2025.Niliongoza Maandamano kikamilifu na Sirari yangu hapa kuwa na uchaguzi kabisa.

Tarehe 09.12.2025 nitaongoza mapambano tena !Hakuna mkurya fala
 
Familia hapa. Tutakuwepo! Karibu GAZA.
 
Back
Top Bottom