Tarehe 29 ilikukuta wapi na ulikuwa wapi?

Wanataka kuiangusha dola eti
 
Wanataka kuiangusha dola eti
Mtaji wa wanasiasa skuzote ni vijana wapumbavu,
Haya maandamo yote 29 na hayo ya D9 yamebeba agenda za kipumbavu tu za wanasiasa waliojificha nyuma na kuwaweka vijana wapumbavu mbele,
Na kamwe wao hawawez kutoka kukaa mbele sababu wanataka malengo Yao yatimizwe na hao vijana wao.wapate wanachokitaka,
Hata Hawa wanaopiga kelele humu hakuna hata Mmoja anaetoka kuandamana ni mpango kazi tu wa hao wanasiasa kuhamasisha ujinga Kwa wengine,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…