Centipede Jr
Senior Member
- May 13, 2017
- 158
- 215
Hapo February, March na April mwanzoni, kuna wanaharati na wakereketwa wengi sana walikua na munkari ya kuandamana hapo ifikapo tarehe 26 mwezi huu wa nne. Jinsi siku zinavyosogea naona kaukimya kuhusu hilo swala kanazidi kitawala, sijui ndo wameshasahau?
Nimeamua kuwakumbusha Jaman msijisahaulishe na kale kampango kenu, [emoji28][emoji28]... mkumbushane mwende huko barabaran ili mkapate hadithi za kuwasimulia wale waliowatuma. [emoji28]
Nimeamua kuwakumbusha Jaman msijisahaulishe na kale kampango kenu, [emoji28][emoji28]... mkumbushane mwende huko barabaran ili mkapate hadithi za kuwasimulia wale waliowatuma. [emoji28]