PD_Magumba
JF-Expert Member
- Apr 2, 2021
- 688
- 2,174
Habari Wana JF.
Nina shamba langu wilayani Biharamulo mkoa wa Kagera lenye ukubwa wa ekari 34 na lina miti mingi ya asili kama vile mibanga, minazi, misindo n.k.
Nahitaji kuivuna na kuichoma mkaa na kwa makadirio zitapatikana takribani junia(gunia) 400.
Sasa naomba mwenyekujua gharama zote za leseni, vibari na usafirishaji anijuze hapa.
Nimepitia website ya tfs lakini sikuona walipo bainisha gharama zao.
Nahitaji kuuleta hapa Dar es salaam.
Naomba elezea as if sijui chochote.
Nina shamba langu wilayani Biharamulo mkoa wa Kagera lenye ukubwa wa ekari 34 na lina miti mingi ya asili kama vile mibanga, minazi, misindo n.k.
Nahitaji kuivuna na kuichoma mkaa na kwa makadirio zitapatikana takribani junia(gunia) 400.
Sasa naomba mwenyekujua gharama zote za leseni, vibari na usafirishaji anijuze hapa.
Nimepitia website ya tfs lakini sikuona walipo bainisha gharama zao.
Nahitaji kuuleta hapa Dar es salaam.
Naomba elezea as if sijui chochote.