Lyandembela1
JF-Expert Member
- May 10, 2013
- 277
- 113
Heshima mbele wakuu,
Ninategemea kupokea mgeni/raia kutoka nchi za ng'ambo, Ningependa kujua afate taratibu zipi akiwa huko kwao nami pia nifanye nini huku ili kurahisisha zoezi hili.
Aksante wadau
Lyandembela1
Ninategemea kupokea mgeni/raia kutoka nchi za ng'ambo, Ningependa kujua afate taratibu zipi akiwa huko kwao nami pia nifanye nini huku ili kurahisisha zoezi hili.
Aksante wadau
Lyandembela1