Tapeli anaetumia namba 0767813664

Tapeli anaetumia namba 0767813664

Teresia Mahimbi

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
271
Reaction score
91
Wadau naaomba mjihadharii na huyu Tapeli anajiita Peter kutoka CAPITAL REFINERY( if ni kweli kuna kampuni inaitwa hili jina); ansumbua watu yuko kwenye interview panel anataka atumiwe hela ili aakusaidie kazi..Ni mpuuzi kwa sababu hajui watu anaodeal nao wana ELIMU kumshinda yy.so wale wote wanaotafuta kazi ukikutana na msgs ya huyu mpuuzi wala usijihangaishe nae,delete KABISA na umtukane kabisa..namaba anayotumia ndio hii 0767 813664; wenye M-Pesa hebu msaidie kucheki imesajiliwa kwa Jina gani ili tumuumbue mshenzi huyu. NAWASILISHA
 
0767 813664 Anaitwa Peter Michael, Hilo ndilo jina alilosajilia. Ngoja wadau waje kukuendelezea historia yake
 
Loh mtu anatafuta kazi bado tena anahitajika atoe hela
 
Ndio njia walizogundua ckuizi lkn tumewashtukia cha mcngi ni kuwaumbua ivoivo

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Nduguzangu katika Jamvi hili mambo haya ni ya kawaida maana siyo hapa tu ukiingia ulimwengu wa Mtandao zaidi wapo wanaoitwa webcam! Hawa huwa ni wezi wa kimataifa na wameliza wengi mara utaona msg kwenye barua pepe/face book yako mtu akijitambulisha kuwa ni mkimbizi mara ni binti pekee wa marehemu baba yake aliyemiliki kampuni au pesa nyingi na yeye ndo mrithi pekee. Usipende kumfuatilia zaidi usipokuwa makini utaishia kulizwa zaidi. Katika nchi yetu watu hawa hawapo bado katika nchi jirani wapo Rwanda, lakini zaidi wapo NIGERIA, IVORY COAST, MOROCCO, SUDAN na Ghana. Hapo mbeleni nitakuja niweke wazi nyaraka wanazopenda kutumia kuibia watu. Visit 449.com/ bittenus.com. Au safu majina kama haya Tamba dollo, Anabel coli hao ni baadhi ya wezi waitwao webcam.
 
sante kwa kumfichua huyu mpuuzi,inachanganya sana mtu unatafuta job mwingine anataka hela. kama ni njaa basi bongo imezidi sana. watu hawana ata aibu. importantly watu wajue kuwa mtu huwezi kuunganishiwa kazi simple like that ata kama unatoa kitu kidogo icho. eti hili tapeli linasema,HR anataka sh.150,000 na wewe utoe elfu30 na lenyewe litakusaidia kumalizia hela iliyobaki na kuwa utarudisha kwenye salary ya kwanza!jamani kwa sasa there isnt such a thing. heri ubaki na iyo pesa for future jobs application! alafu jaribuni kusearch kwenye mtandao kama utaikuta iyo company kweli...poleni kwa waliopatwa na huyu tapeli mwenzenu nilinusurika,i was on the process ku2ma iyo ela but nikaliotea ki machale tu.
 
Nduguzangu katika Jamvi hili mambo haya ni ya kawaida maana siyo hapa tu ukiingia ulimwengu wa Mtandao zaidi wapo wanaoitwa webcam! Hawa huwa ni wezi wa kimataifa na wameliza wengi mara utaona msg kwenye barua pepe/face book yako mtu akijitambulisha kuwa ni mkimbizi mara ni binti pekee wa marehemu baba yake aliyemiliki kampuni au pesa nyingi na yeye ndo mrithi pekee. Usipende kumfuatilia zaidi usipokuwa makini utaishia kulizwa zaidi. Katika nchi yetu watu hawa hawapo bado katika nchi jirani wapo Rwanda, lakini zaidi wapo NIGERIA, IVORY COAST, MOROCCO, SUDAN na Ghana. Hapo mbeleni nitakuja niweke wazi nyaraka wanazopenda kutumia kuibia watu. Visit 449.com/ bittenus.com. Au safu majina kama haya Tamba dollo, Anabel coli hao ni baadhi ya wezi waitwao webcam.

kuna mwingne anaita sandra colman kanambia ni mkimbizi kutoka liberia kani2mia kila document juu ya pesa za marehemu baba yake,jamani wezi ni wengi
 
Back
Top Bottom