Sifi Leo
Platinum Member
- Mar 30, 2012
- 5,939
- 10,822
Miezi miwili baada ya kutoka Keko kwa Kosa LA ubadhirifu,alitoka kwa dhamana ya Milioni 200m yeye na mwenzake!
Aliwai kuwa mkuu wa chuo cha uhasibu miaka mingi sanaaa!
Inasemekana presha na hofu ya kufungwa na kufilisiwa Mali maze na serikali ya awamu hiii,imechagia kwa kiasi kikubwa kufa kwake!
Niko njian naelekea msibani yatakayojiri ntawajuza!
Alikabiliwa na kosa LA kununua kiwanja cha kujengea tawi LA chuo,badala ya 600 yeye na wenzake waliandika 1.2b na wizara ikatoa,amestafu anazaidii ya mmiaka mitano ila uongozi wa sasahiv ukefukua kaburi!
Cc; mkuu wa nchi uliowatumbua waanza kurudisha no!
Aliwai kuwa mkuu wa chuo cha uhasibu miaka mingi sanaaa!
Inasemekana presha na hofu ya kufungwa na kufilisiwa Mali maze na serikali ya awamu hiii,imechagia kwa kiasi kikubwa kufa kwake!
Niko njian naelekea msibani yatakayojiri ntawajuza!
Alikabiliwa na kosa LA kununua kiwanja cha kujengea tawi LA chuo,badala ya 600 yeye na wenzake waliandika 1.2b na wizara ikatoa,amestafu anazaidii ya mmiaka mitano ila uongozi wa sasahiv ukefukua kaburi!
Cc; mkuu wa nchi uliowatumbua waanza kurudisha no!