Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
TANZIA!! TANZIA!! TANZIA!!
CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO WILAYA YA ARUSHA MJINI (CHADEMA) kinasikitika kuwatangazia kifo cha Mwenyekiti wa CHADEMA Kata ya OLOIRIEN ndugu JOSEPH MADARAKA BIWA aliyepatwa na umauti leo Alhamisi tarehe 19/07/2018 majira ya saa 10:30 jioni katika Hospitali ya Mount Meru Arusha.
Msiba upo nyumbani kwa marehemu maeneo ya Msikiti wa MWANAMA Mtaa wa Moivoi Kata ya Oloirien.
KISANYAGE INNOCENT J,
KATIBU,
CHADEMA WILAYA ARUSHA.
19-07-2018
CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO WILAYA YA ARUSHA MJINI (CHADEMA) kinasikitika kuwatangazia kifo cha Mwenyekiti wa CHADEMA Kata ya OLOIRIEN ndugu JOSEPH MADARAKA BIWA aliyepatwa na umauti leo Alhamisi tarehe 19/07/2018 majira ya saa 10:30 jioni katika Hospitali ya Mount Meru Arusha.
Msiba upo nyumbani kwa marehemu maeneo ya Msikiti wa MWANAMA Mtaa wa Moivoi Kata ya Oloirien.
KISANYAGE INNOCENT J,
KATIBU,
CHADEMA WILAYA ARUSHA.
19-07-2018