Tanzia: Muigizaji Rachel Haule afariki dunia

Hahhhhha sasa ukizipata namba unaanzaje kuwapigiaa,au watsapp unarusha picha au hebu nipe teknik zako

Technik nitakupa nikishaziapply na kufanikiwa.. kuanza mbona rahisi tu....na nikianza hachomoki MTU...
 
Huyu ndo alikuwa rafiki yake sana na marehemu, anaitwa odama, hadi mimba walibeba wote, yeye sijasikia kuzimia ,naona uwoya kaguswa sana..

aluuu, kumbe odama naye mama kijacho
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…