MZABIBUASILI
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 287
- 38
Habari wanajf leo ndiyo siku tunayomuaga mpendwa wetu prof.g.mwaluko tupo hapa st.john university tukitoa heshima za mwisho kabla ya kumpeleka katika kijiji cha chikuyu karibu na manyoni singida na kwenda kuulaza mwili wake katika makazi ya milele.mwili wake uliwasili saa 12 usiku ukitokea india.nitawatumie picha nitakapotulia vizuri.bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe ameni.