Mtanganyikamimi
Member
- Aug 13, 2013
- 64
- 13
R . I . P Kamanda. Utakumbukwa kwa mema yote uliyotenda hapa Duniani.
jaman Mwanga wa milele umwangazie
Huu msiba ni wa wote wapenda amani na mabadiriko katika nchi hii alazwe pema peponi Kamanda tulikupenda sana na kukuhitaji sana lakini Mungu kakupenda zaidi wewe umetangulia nasi tunafuata R.I.P
R.I.P Kamanda ulale kwa amani. Ila mapambano yanaendelea huku hadi kieleweke.
Poleni sana makamanda wa Arusha kwa kuondokewa na mpiganaji mwenzetu.