TANZIA: Balozi Paul Rupia Afariki Dunia

TANZIA: Balozi Paul Rupia Afariki Dunia

Jayden News

Member
Joined
Aug 28, 2022
Posts
29
Reaction score
94
Kufuatia taarifa ya Kifo chake Rais Samia Suluhu Hassan ameandika “Nimepokea kwa masikitiko taarifa za kifo cha Katibu Mkuu Kiongozi Mstaafu, Balozi Paul Rupia. Tumeondokewa na mtu aliyetoa mchango mkubwa katika masuala ya kidiplomasia, mageuzi ya kiuchumi na utumishi wa umma, na aliyeweka mbele maslahi ya Taifa. Mungu amweke mahali pema. Amina.”
IMG_3900.jpg
 
John Lupia yule aliyesimamisha msafara wa Rais Nyerere mwaka 1962 ni baba mzazi wa Poul LuPIA HUYU aliyewahi kuwa katibu mkuu kiongozi Awamu ya pili chini ya rais Mwinyi
 
Back
Top Bottom