MkuuMaalim Faiza,
Hakika ni msiba mkubwa kwangu na Tamim kwani alikuwa mzee wetu
sana na mtu tuliyekuwanae karibu mno.
Walikuwapo katika kundi letu Prof. Hamza Njozi na Dr. Ramadhani
Dau.
Mzee Jumbe alimpenda sana Tamim kwa ajili ya ile '' hard to imagine
exceptional intelligence'' yake aliyojaaliwa na Allah na Tamim alifanyakazi
kubwa sana ya uhariri wa kitabu cha Mzee Jumbe, ''The Partnership,''
zaidi akimzuia Mzee Jumbe abakishe baadhi ya mambo akimwambia,
Mzee Jumbe imetosha kuwa sisi tushayajua.
Hii picha tulipiga mwaka wa 2000.
huo ni muda alioongoza Zanzibar.SHEIKH ABOUD JUMBE MWINYI
1972 -1984
Amezaliwa 1972
Amefariki 1984!
Mkuu..umenichekesha apo waweza bambikiziwa kesi hjapata ona maishani...usalama wanakuangalia kama umeua mtuUsimsahau na Maalim Seif Sharif Hamad.. Huyu hakustahili kutenda kile alichomtendea huyu Mzee
Naona Jamaa wa Usalama wamejaa sana hapa msibani. Ukiinua simu tu utatazamwa kama umeua mtu
But there is public interest in that...utakuwepo msibani???Comrade, tuvumiliane tu...haya mambo yana mipaka yake...Mzee Jumbe tumuombee apumzike mahali pema peponi...Najua nakukwaza lakini ndiyo hivyo...Not everything is for public consumption..
Mzee jumbe na seif hawanashida yeyote wanajua kuwa propaganda nani alianzisha na kwa sababu gani???Ngoja nione kama Maalim Seif ataenda kuhani huu msiba,kweli nitajua wanafiki hawana haya.
Mueleze mkuu..asante umenisaidia kidogo..propaganda hii waliomzushia seif ni sawa tu na ile walomzushia ahmed salim.mahfoudh na wengne wengiMbona maalim seif amekutana naye mara nyingi tu ??? Ile ilikuwa ni fitina a Nyerere na waliitambua kama alivyotambua Amani karume
Unahoja nzuri sana..Hivi baada ya kujivua/kuvuliwa nyadhifa zake zote za uongozi, je, aliendelea kupata stahiki zake kama kiongozi wa hadhi yake?
Je, alikuwa akifanya shughuli gani ya kujikimu kimaisha tangu 1984?
Askari/walinzi waliokuwa wakilinda nyumbani kwake mji mwema walikuwa wakifanya shughuli hiyo kama ulinzi wa kiongozi mstaafu au mtu aliyewekwa kizuizini?
Je, mitaala ya somo la historia na uraia ya Tanzania inafundisha kuhusu Aboud Jumbe? Kama jibu ni 'ndio', anatajwa kama nani na kiwango gani/mipaka ipi? Kama jibu ni 'hapana', kwa nini?
Natumai wajuvi mtatuelewesha kwa kutujibia naswali haya.
Kaka ...
Wapi nimesema kimeanza julikana leo?Unamiaka mingapi wewe???
Kifungo cha jumbe kinajulikana tangu siku ya kwanza kaanza kutumikia watu wanaandika sasa yapata miaka 30 na kitu...wewe unasema kimeanza julikana leo...
Watoto muwe na adabu sana mnapo kuwa kwenye minakasha kama hii..hata kama hatukuoni kwa sura
Gwama, issue ya huyu Mzee ni ndogo tuu, baada ya kuona Zanzibar inabanwa, akautumia Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Mgoa Wolfgang Dourado kuandaa hati za kisheria za serikali tatu, ziende BMW, Zanzibar iwe na mamlaka yake kamili. Wakamshirikisha Maalim Seif aliyekuwa Waziri Kiongozi. Seif akapanda boat usiku usiku na kuzikabidhi hizo documents kwa Mwalimu, Mwalimu akaitisha kikao cha NEC cha dharura Dodoma, kwenye kikao Jumbe akaonyeshwa document, kimya, akavuliwa nyadhifa zote na kutupwa kisuizini cha nyumbani mpaka umauti ulipomkuta. Dourado aliozea jela! .
Tangu pale alukuwa kifungoni cha nyumbani kwake mpaka Mungu alipomuita. Huyu Seif wa leo ambaye ni mpinzani Mkuu Zanzibar, was once a snitch! . Once a snitch, always a snitch, naye siku zake zinahesabika, what goes around, comes around! .
RIP Alhaj Aboud Jumbe, wengine soon watafuatia na kukutana mbinguni watayaziza hukohuko! .
Pasco
Apart from udini kuna upuuzi mwingi tu aliufanya...! Just imagine alivyoharibu historia ya Tanganyika na hatimaye Tanzania as if huo uhuru aliuleta single handedly!!!
Escotter,Mkuu
Chozi lanitoka hasa apo tamim anaposema mzee imetosha sisi tushajua bila shaka yalikuwa ni mambo machungu aliokuwa anasimulia mpaka msikilizaji unachomwa moyo
RIP Aboud Jumbe Mwinyi
Serikali imeanza unafiki wao
Ukiacha JK hawa wengine wote walikuwa bado wanamhesabu Mzee Jumbe kama mhaini
Walikuwa hawajawahi hata kumtembelea nyumbani kwake Mji Mwema
Sasa KAFARIKI ndiyo upendo unaongezeka
Mzee Mwinyi,Mkapa na Magufuli shame on you jinsi mlivyo m treat Mzee Jumbe
Jemedari Jumbe aliyekataa kukubali kila kitu toka kwa Nyerere
Serikali 3 ilimtesa sana Jumbe
Lkn hakubadili msimamo hadi anafariki dunia
Familia ya Jumbe impe Rais JK upendeleo maalum ktk mazishi yake
Ndiye Rais pekee wa TZ aliye onyesha anamuunga mkono Mzee Jumbe
Thx mkuuNaomba ni mtetee Mkapa kwani ali i-renovate nyumba ya marehemu mzee Jumbe kwa thamani ya TSh 80,000,000.00 (Milioni themanini) wakati wa hawamu yake ya pili. Mkapa aliwajibika vema kwa huyu mzee, Ahaji Aboud Jumbe.
Millioni 80?? Alijenga mpya au!?Naomba ni mtetee Mkapa kwani ali i-renovate nyumba ya marehemu mzee Jumbe kwa thamani ya TSh 80,000,000.00 (Milioni themanini) wakati wa hawamu yake ya pili. Mkapa aliwajibika vema kwa huyu mzee, Ahaji Aboud Jumbe.