epigenetics
JF-Expert Member
- May 25, 2008
- 269
- 80
Hivi kwanini Benki za tanzania haziaminiki? Mimi ni mteja wa hiyo Tanzanite account ya CRDB, na mpaka ninavyoandika sasa ni mwaka sijapokea kadi yangu. Nilienda pale Tower Branch kujaza fomu na kuwapa address yangu, lakini ni miezi zaidi ya 10 sijasikia kitu. Ukiwapigia simu unaambiwa namba uliyopiga hawahusiki na account hiyo, mara huyo mratibu wa Tanzanite account Ms. Tondi hayupo, au amehamia Arusha, basi ilimradi wakuzungushe tu.
Why are we Tanzanians not serious with customer service?
Walikuja na idea nzuri kwa kutufungilia account watanzania wa Diaspora, ila naona walikurupuka tu bila kuwa na idea wanafanya nini; lack of concrete long-term plan.
Yaani nilicheka nilipoona wanaandika kwenye daftari majina ya wanaofungua account.
Why are we Tanzanians not serious with customer service?
Walikuja na idea nzuri kwa kutufungilia account watanzania wa Diaspora, ila naona walikurupuka tu bila kuwa na idea wanafanya nini; lack of concrete long-term plan.
Yaani nilicheka nilipoona wanaandika kwenye daftari majina ya wanaofungua account.