Tanzanite account kweli feki

epigenetics

JF-Expert Member
May 25, 2008
269
80
Hivi kwanini Benki za tanzania haziaminiki? Mimi ni mteja wa hiyo Tanzanite account ya CRDB, na mpaka ninavyoandika sasa ni mwaka sijapokea kadi yangu. Nilienda pale Tower Branch kujaza fomu na kuwapa address yangu, lakini ni miezi zaidi ya 10 sijasikia kitu. Ukiwapigia simu unaambiwa namba uliyopiga hawahusiki na account hiyo, mara huyo mratibu wa Tanzanite account Ms. Tondi hayupo, au amehamia Arusha, basi ilimradi wakuzungushe tu.

Why are we Tanzanians not serious with customer service?

Walikuja na idea nzuri kwa kutufungilia account watanzania wa Diaspora, ila naona walikurupuka tu bila kuwa na idea wanafanya nini; lack of concrete long-term plan.

Yaani nilicheka nilipoona wanaandika kwenye daftari majina ya wanaofungua account.
 
Hivi kwanini Benki za tanzania haziaminiki? Mimi ni mteja wa hiyo Tanzanite account ya CRDB, na mpaka ninavyoandika sasa ni mwaka sijapokea kadi yangu. Nilienda pale Tower Branch kujaza fomu na kuwapa address yangu, lakini ni miezi zaidi ya 10 sijasikia kitu. Ukiwapigia simu unaambiwa namba uliyopiga hawahusiki na account hiyo, mara huyo mratibu wa Tanzanite account Ms. Tondi hayupo, au amehamia Arusha, basi ilimradi wakuzungushe tu.

Why are we Tanzanians not serious with customer service?

Walikuja na idea nzuri kwa kutufungilia account watanzania wa Diaspora, ila naona walikurupuka tu bila kuwa na idea wanafanya nini; lack of concrete long-term plan.

Yaani nilicheka nilipoona wanaandika kwenye daftari majina ya wanaofungua account.



Mkubwa nadhani bado wapo nyumba kidogo kwenye haya mambo alafu nasikia wasumbufu sana yaani...

N.B umeniacha hoi hapo uliposema sema uliona wanaandika kwenye kitabu majina ya wanaofungua account haha sio mchezo kaka kweli hilo ni balaa sasa!!
 
Back
Top Bottom