Maji ya nairobi yana rangi tofauti na maji ya dar,ya nairobbery yamechanganyika na mavi maana wakenya ustaraabu wa kumiliki choo ni 0Huwezi kuona ndio mwaka huu kwani Kenya mvua imenyesha ??? Angalia nyumba hizo Maji yamefika hadi kwa paa lakin nyumba bado imesimama sijui kibera ikija pata mafuriko ka hayo kama Yale mabati yenu yatasimama hivyo...hahaha