Forgotten
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,346
- 10,220
Jana club ya Simba SC imetangaza ubingwa wa VPL msimu 2019/20 hongera kwao ila pia aibu kwao kwa kuwa na brand kubwa ila iliyojaa unprofessional employees kuikuza vizuri. Simba itakuwa mfano ila club nyingi za Tanzania zinafanya haya;
1. Simba hawana mpiga picha na graphic designer
Najua hawa watu wapo ila utendaji wao wa kazi ni sawa na wao kutokuwepo, inatia aibu kuona Simba SC inapost picha zisizo na quality nzuri na kupigwa vibaya. Jana ndio walipotezwa kabisa na graphic designer wao, ile poster ya ubingwa haiendani na hadhi ya timu wanastahili zaidi ya hapo. Labda wanafanya hivi kwakuwa wabongo wengi hawafuatilii graphics ila moja ya njia nzuri kujikuza mitandaoni kama brand ni kuwa na post zenye quality na graphics kali kuvutia mashabiki au wateja, nitatoa mfano Chelsea FC inayoshiriki ligi kuu Uingereza msimu huu waliajiri freelance graphic designer kuwatengenezea poster za mechi na mashabiki walimpenda sana, kiukweli aliitendea haki kazi yake.
2. Simba hawana professional Admin
Hii shida ipo club nyingi Tanzania, nadhani wanaopewa dhamana ya kuziendesha page za club huwa hawajui admin anapaswa kupost nini na nini si cha kupost mitandaoni, page rasmi ya club sio mahala sahihi pa kupost mipasho na vijembe, nitanukuu kutoka post moja ya Simba SC "Mara tatu mfululizo, watoto watulie SIMBA ndio baba lao" such unprofessional admin will type this. Huwezi kuandika maneno ya kejeli kwenye page rasmi ya timu hapa tayari wanaunda uadui baina ya timu nyingine katika michezo Tanzania, kuchukua ubingwa isiwe njia ya kutoa kejeli kwa wapinzani wako katika ligi. EPL juzi Liverpool FC kabeba kombe na hatujaona post yenye kejeli na zaidi kocha na wachezaji wao walisikika wakipongeza wachezaji na timu pinzani.
3. Simba wanapost visivyostahili
Kupost screenshot ya CAF kisa wameretweet post ya timu ni kuwa unprofessional, hii ipo timu nyingi. Najua timu nyingi zinafanya huu upuuzi. Azam FC waliwahi kupost kuwa wamekuwa verified, Yanga SC waliwahi kupost kuwa wamepostiwa na La Liga, Simba SC jana wamepost kuonyesha retweet ya CAF. This is so unprofessional page rasmi ya club inapaswa kutoa taarifa za timu na sio kushindana mtandaoni.
4. Hili liende kwa Yanga SC
Moja ya timu inayoendeshwa kipumbavu Tanzania ni hii, inanikera kuona wanabadili logo za club nyingine tofauti na mirangi yao ya njano na kijani hasa zenye nyekundu kwenye poster zao kisa tu wana uhasimu na Simba SC basi wao wanaona kama uchawi kuvaa kitu chenye nyekundu, kubwa zaidi ni pale walipogoma kuvaa jezi zenye logo ya Vodacom. TFF walipaswa kuipa adhabu kali Yanga SC hii mentality waliyonayo ni ya kipuuzi kwenye soka la kisasa.
Kama timu kubwa zipo hivi, safari bado ni ndefu. Haya ni machache tu. Mashabiki wa hizi timu msiandike bila kuelewa ninachowasilisha.
"Unprofessional football clubs will make an unprofessional football league"
1. Simba hawana mpiga picha na graphic designer
Najua hawa watu wapo ila utendaji wao wa kazi ni sawa na wao kutokuwepo, inatia aibu kuona Simba SC inapost picha zisizo na quality nzuri na kupigwa vibaya. Jana ndio walipotezwa kabisa na graphic designer wao, ile poster ya ubingwa haiendani na hadhi ya timu wanastahili zaidi ya hapo. Labda wanafanya hivi kwakuwa wabongo wengi hawafuatilii graphics ila moja ya njia nzuri kujikuza mitandaoni kama brand ni kuwa na post zenye quality na graphics kali kuvutia mashabiki au wateja, nitatoa mfano Chelsea FC inayoshiriki ligi kuu Uingereza msimu huu waliajiri freelance graphic designer kuwatengenezea poster za mechi na mashabiki walimpenda sana, kiukweli aliitendea haki kazi yake.
2. Simba hawana professional Admin
Hii shida ipo club nyingi Tanzania, nadhani wanaopewa dhamana ya kuziendesha page za club huwa hawajui admin anapaswa kupost nini na nini si cha kupost mitandaoni, page rasmi ya club sio mahala sahihi pa kupost mipasho na vijembe, nitanukuu kutoka post moja ya Simba SC "Mara tatu mfululizo, watoto watulie SIMBA ndio baba lao" such unprofessional admin will type this. Huwezi kuandika maneno ya kejeli kwenye page rasmi ya timu hapa tayari wanaunda uadui baina ya timu nyingine katika michezo Tanzania, kuchukua ubingwa isiwe njia ya kutoa kejeli kwa wapinzani wako katika ligi. EPL juzi Liverpool FC kabeba kombe na hatujaona post yenye kejeli na zaidi kocha na wachezaji wao walisikika wakipongeza wachezaji na timu pinzani.
3. Simba wanapost visivyostahili
Kupost screenshot ya CAF kisa wameretweet post ya timu ni kuwa unprofessional, hii ipo timu nyingi. Najua timu nyingi zinafanya huu upuuzi. Azam FC waliwahi kupost kuwa wamekuwa verified, Yanga SC waliwahi kupost kuwa wamepostiwa na La Liga, Simba SC jana wamepost kuonyesha retweet ya CAF. This is so unprofessional page rasmi ya club inapaswa kutoa taarifa za timu na sio kushindana mtandaoni.
4. Hili liende kwa Yanga SC
Moja ya timu inayoendeshwa kipumbavu Tanzania ni hii, inanikera kuona wanabadili logo za club nyingine tofauti na mirangi yao ya njano na kijani hasa zenye nyekundu kwenye poster zao kisa tu wana uhasimu na Simba SC basi wao wanaona kama uchawi kuvaa kitu chenye nyekundu, kubwa zaidi ni pale walipogoma kuvaa jezi zenye logo ya Vodacom. TFF walipaswa kuipa adhabu kali Yanga SC hii mentality waliyonayo ni ya kipuuzi kwenye soka la kisasa.
Kama timu kubwa zipo hivi, safari bado ni ndefu. Haya ni machache tu. Mashabiki wa hizi timu msiandike bila kuelewa ninachowasilisha.
"Unprofessional football clubs will make an unprofessional football league"