Mpeni sifa Yesu
JF-Expert Member
- May 23, 2010
- 646
- 129
a kenyan will always be kenyan, siku zote wanawaona watz kama watu wasiofaa, na hii thread wameleta kwaajili ya kuwaumiza mioyo watz. haina maana. huyo mwandishi alisahau chokolaa ambao dunia nzima inajua wanapatikana kenya tu, chokolaa ambao wanaweza hata kukurushia kinye.si cha binadamu au cha kwao kama utawakatalia pesa kwenye mitaa ya Nairobi?...they've forgotten all that. Tanzania iko kwenye position nzuri sana kuinuka kiuchumi kuipita kenya muda wowote kuanzia sasa kama tukakaa vizuri, ndio maana we are a threat to kenyans, watafanya lolote kutudiscourage ili tusiwazidi. Mungu ibariki Tanzania.