aliwahi kusema yeye ni mpenzi wa bongo moviez na african movieskwa Tz inawezekana kwan hata Mkuu kaya n mwenzakda katka mambo fulani so usishangae kuskia state burial
weka hizo update hapa wewe sio kila mtu anaangalia tv muda huu? Kma huwezi kaa kimya.
hii inanikumbusha kipindi kile majira wakatoa habari ya zito ilihali chadema ilikuwa imefiwa... all in all, thanks to clouds fm n tv............ their tryin to inform us esp sisi tulio nje ya nchi.........redio zetu hakuna coverage kabisa....kanumba was great bana.....tv ndio kabisa..tbc wanapiga mitaarabu yao......
TX moshi willam
Kumbe Lulu ni Mmachame?
Nazidi kuwachukia dada zangu wa kimachame..
tujifunze kutafakari angalau hata kidogo. Liyumba ni marehemu na chumbani walikuwa wawili sasa hii simulizi kaitoa Lulu? Give me a break..........ukweli ni kuwa:-
"Do not deceive yourself. God is not mocked. Whatever a man sow that he shall also reap........................." Galatians 6:7
Kwa taarifa nilizonazo hususani baada ya ile movie aliyoicheza Nigeria na TZ kwa pamoja uvumi ulikwisha kuzagaa kuwa afya yake ilikuwa na mushkeli mkubwa.....................cocktail ya kibongo ilimpa siha marejeo ambayo sanasana ilisaidia kuharibu viungo ndani ya mwili wake.......................figo, maini, moyo n.k.....................suala la kuanguka is typical kwa wengi wenye khali yake....................kule malawi Bingu naye alidondoka......sijui Lulu alikuwepo kule kumvisha kaputula?