Da jamani pole sana kama ni kweli kazi ya Mungu haina makosa bwana ametoa,bwana ametwaa jina la bwana lihimidiwe ,nasi tuliobaki tumgeukie Mungu kwani vijana wengi ndo tunaoongoza kwa kujisahau wakati binadamu wote hatujui siku wala saa plz tubadirike jamani