tz yetufom
Member
- Jun 18, 2020
- 10
- 21
Hakika ni heshima kubwa sana mliyotupa Wajumbe wa Mkutano Mkuu Taifa
Njaa mbaya sana
2020 ni muda wa kuipiga chini PombeHoja yako ni ipi hasa?
Tz ijayo watz mtaokota makopoHakika ni heshima kubwa sana mliyotupa Wajumbe wa Mkutano Mkuu TaifaView attachment 1505481
Yote yameshatokea, nini kipya ?Tegemea miaka mitano ya msoto, watu kuharibiwa biashara, tumbua tumbua zisizo kichwa wala mguu, wapinzani kupigwa loba mpaka mwaka wa uchaguzi, Watanzania kutukanwa, Shirika la Ndege kupata hasara inayofichwa, serikali kuendeshwa kwa matakwa ya mtu mmoja badala ya sera, manunuzi yasiyo zabuni wala bajeti, Bashite kuendeleza utemi na maneno ya kishenzi, Tanzania kuonekana kituko na kupungua heshima kimataifa, na ujinga mwingi sana kama huo.
Kwani nani kasema unahitaji kipya ili kikuue?Yote yameshatokea, nini kipya ?
UnasemajeKwani nani kasema unahitaji kipya ili kikuue?
Kifo chenyewe si kipya.
What's your logic?
Nasema hivi, kukosekana kwa kipya, hususan upande wa upinzani, ndiyo kinaweza kuwa tatizo zaidi.Unasemaje