Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,817
Hilo halipingiki hakuna nchi ya Kiafrika yenye mfumo wa kisiasa bora, mzuri na endelevu kama yetu!
Ukiangalia nchi nyingi za Kiafrika kama siyo zote hakuna Chama cha Siasa chenye miaka zaidi 10, lkn Tanzania yetu ni kawaida kuna vyama vipo tangu 1995 mpaka leo hii, nchi nyingi za Kiafrika kama siyo zote vyama huanzishwa tu kwa lengo la uchaguzi na uchaguzi ukiisha basi vyama pia hufa!
Lakini labda la muhimu klk vyote hapa kwetu ni hili la kuwa na Chama kilichokomaa kama CCM na kinachoendeshwa kitaasisi, ambapo kuna utaratibu mzuri hakuna kung'ang'ania madaraka, mipaka ya kazi iko wazi na inajulikana!
CCM inailinda Tanzania kwa kuhakisha kwamba hakuna vyama visivyo makini na vinavyoongozwa na maslahi ya watu binafsi vinaweza kuachiwa kuongoza nchi yetu, hivyo vyama vya mifukoni vinapiga kelele zao tu huko nje lkn linapokuja swala la nchi yetu kwa sababu ya umakini wa CCM, Watanzania hatuko tayari kuwapa nchi hawa Wapinzani!
Ukiangalia nchi nyingi za Kiafrika kama siyo zote hakuna Chama cha Siasa chenye miaka zaidi 10, lkn Tanzania yetu ni kawaida kuna vyama vipo tangu 1995 mpaka leo hii, nchi nyingi za Kiafrika kama siyo zote vyama huanzishwa tu kwa lengo la uchaguzi na uchaguzi ukiisha basi vyama pia hufa!
Lakini labda la muhimu klk vyote hapa kwetu ni hili la kuwa na Chama kilichokomaa kama CCM na kinachoendeshwa kitaasisi, ambapo kuna utaratibu mzuri hakuna kung'ang'ania madaraka, mipaka ya kazi iko wazi na inajulikana!
CCM inailinda Tanzania kwa kuhakisha kwamba hakuna vyama visivyo makini na vinavyoongozwa na maslahi ya watu binafsi vinaweza kuachiwa kuongoza nchi yetu, hivyo vyama vya mifukoni vinapiga kelele zao tu huko nje lkn linapokuja swala la nchi yetu kwa sababu ya umakini wa CCM, Watanzania hatuko tayari kuwapa nchi hawa Wapinzani!