Tanzania yapunguza safari za Kenya Airways

Hii ni kututesa wanaosafiri mara kwa mara. Wanawazuia kwa faida ya nani? Hapa sana sana watawanufaisha ndege za Waarabu tu. KQ ni moja ya Shirika linalowasaidia watanzania kufika nchi za nje (Ulaya, Marekani na Asia) sisi hatuna ndege alafu tunawazuia kumnufaisha nani?
Acha mawazo mgando hayo, unajua ni kwa kiasi gani sekta ya utalii imeathirika baada ya wao kuzuia magari ya bongo kufika airport zao?? Mdogo mdogo tutaheshimiana tu
 
Haipo na wala hatuihitaji, kuendesha shirika la ndege sio kazi raisi, KQ wamepunguza marubani kumi na kuziondoa ndege zao za kubwa za Boeing 777 kwa kukosa abiria, wanakuna kichwa nani wa kumuuzia, tunatakiwa tujenge na kuboresha viwanja, tuwaache wenye uwezo kama Fast Jet wawekeze kwenye ndege, serikali ifanye kazi ya kuregulate
Air Tanzania tunaihitaji tena sana. Na ni vile tu serikali yetu haina dhumuni la dhati la kulifufua shirika hili. Lakini ukikaa ukiwaza utaona jinsi kulivyo na soko kubwa sana. Nashauri ikiwezekana hata tutumie protectionism, waseme watakalosema lakini habari ndiyo hiyo. Air Tanzania inunuliwe ndege mpya then ipewe exclusive rights to fly all domestic routes within Tanzania, halafu kidogo kidogo ijiunge na hizi groups za airlines ili iweze kuaccess outside markets. Watalii tunao wengi, trade na agriculture zinakua na vilevile kuna sekta mpya ya mafuta na gesi inayocrop up. Pia, wanaweza wakailist kwenye stock markets za East Africa nzima, na labda hata za huko SADC, na wakauza hisa kadhaa kwa makampuni ya nje ya ndege (serikali ikabaki tu na 40 au 50%).
Of course tutahitaji kuisubsidize kwa miaka kama mitatu hivi lakini ikishamature itakuwa ni kampuni kubwa profit making inayoliingizia taifa hela kibao!
 
Kama kuna watz huko mbona kwenye jina la shirika hilo hakuna hata neno moja la kuipromote Tanzania
yan wewe una kichwa nazi kweli!! ulitaka neno gani? makampuni yafuatayo ni yana umiliki wa kitanzania (% yote ama sehemu tu), angalia majina yao na useme kama kuna neno lina-promote tz kama wewe utakavyo: precision air, ipp, azam, clouds media group, zantel, EABL, NMB, CRDB, NBC, acacia mining, na mengine mengi tu! use that sixth sense!
 
Hii ni kututesa wanaosafiri mara kwa mara. Wanawazuia kwa faida ya nani? Hapa sana sana watawanufaisha ndege za Waarabu tu. KQ ni moja ya Shirika linalowasaidia watanzania kufika nchi za nje (Ulaya, Marekani na Asia) sisi hatuna ndege alafu tunawazuia kumnufaisha nani?


Bora kuwanufaisha hawa waarabu kuliko wakenya.I hate them.There are more enemy than friends.Since Uhuru came to power,Tanzania diplomatic relation with its neighbours has never been good.Every time his trying to find a way to strungle our economy on the belief that,be that as it may,we must follow his wants,remember that before Uhuru there was no CoW,and sidelining of Tanzania began shortly after he was elected the president.Waligomea Fast jet kuanzisha ruti ya Nairobi kwasabau zisizoeleweka.I welcome the decision.
 
Hapana kaka,punguza hasira kidogo,wewe unataka kuuvunja kabisa uhusiano KIDOGO uliobakia,kuwa na huruma wenzio watakula wapi sasa
Hakuna kubembelezana bwana, unajua wakenya wanatuona sisi watz kama vile hatuna akili timamu! hii isiishie hapo tu, serikali itoe agizo wafanyakazi wa kikenya waliopo hapa Tz katika makampuni mbali mbali wapunguzwe wabaki mmoja hadi watatu kila sehemu ya kazi. Tuone jeuri yao hawa vichwa maji...
 
Hapana kaka,punguza hasira kidogo,wewe unataka kuuvunja kabisa uhusiano KIDOGO uliobakia,kuwa na huruma wenzio watakula wapi sasa

Hawa Wakenya wanatutegemea sana sisi kuanzia mahindi wakipata njaa.
Wanauza kwetu maziwa, pipi, plastic products etc.
Tuone hizo ndege zao watazipeleka wapi sasa
 
that is a short term measure...what are our strategies kama taifa? kumbuka mkapa aliwahi kusema paka ni paka awe mweupe au mweusi.....au waturuki ndo wataanza kujichekea???
 
Huyu Kenyata Anataka kurithi mambo ya Mzee wake!
Kenyatta na mwenzake Rutto ni wafanyabiashara wakubwa huko Kenya. Wanataka kuitumia Tanzania kama soko la kuuza bidhaa zake na huduma. Kiwanda cha Kenyatta cha maziwa yaani Brookeside kinafanya biashara Tanzania pamoja na bidhaa nyingi toka Kenya lakini wao hawataki bidhaa na huduma toka Tanzania.

Wakenya walivyo wajanja wamechukua share kwenye shirika la ndege la precissionair na kuleta management chiniya Kioko wakiwa na lengo moja tu la kuiua precission. Matokeo yake sasa precissionair sasa inapumulia masikio na hawataki fastjet iende kwao. Wanataka wamiliki routes za Tanzania. Hawataki magari ya utalii yaende kwao wakati wao wanaingiza magari kupitia mipaka ya Gologonja na Sirari kuja kuwaonyesha watalii wanyama wetu wa Serengeti.

Watu hawa ni hatari sana. Bado wanataka wamiliki ardhi ya Tanzania. Tusiposhtuka mapema tutaishia kuwa koloni la Kenya.
 
This is good steps and we need more steps ahead...kutoka 42% hadi 14% sio mbaya kwa miezi miwili tu then tuna switch from 14% to 2% only..mashirika yapomengi tena yenye huduma za kimataifa mf SA airline, Turkey airways, Ethiopia na Qatar na sasa RwandaAir aya yote yanagombea route za Tanzania..Kenya hawafai hata kidogo km ukimsikiliza Pror karamagamba kabudi Kenya ndo ilikua nchi ya kwanza kuizorotesha EAC ya wakati ule achilia mbali Idd amin kipindi jumuia imeipa TZ kuzalisha matairi ya gari kwa general motors tyre kenya wakawakaribisha EU na michelline matairi lengo wanalijua vizuri...
 
Mkuu kama unafuatilia nyuzi zangu nilishawahi kupendekeza Precision Air ibadili jina ili angalau kuwepo na hata kaneno kamoja ka kuiinua Tz. Nenda MICHUZI nilishawahi pia kukomment hivyo japo nilijiita anonymous. Kumbuka Tz hatuna shirika kubwa la ndege na kama ujuanvyo ndege zinaruka pahala pengi, zinatumiwa na wasafiri wengi kutoka mataifa mbalimbali ndio maana baadhi ya nchi wanazitumia kupromote nchi zao.

Makampuni ya bidhaa uliyotaja kama IPP, na mengine tayari yanaitangaza Tz kwa kuandika bidhaa zake "Made in Tanzania". Mtu akiinunua kama yuko Malawi au nchi nyingine analipata jina Tz kwa kupitia bidhaa hiyo.

Mkuu usinishangae sana nina uzalendo wa kweli kwa nchi yangu japo siko kwenye madaraka makubwa.

Mwisho nakuomba utumie lugha ya staha unapotofautiana na mdau mwingine. Kumuita mwingine "nazi" si ustaarabu japo sitageuka kuwa nazi hata siku moja. Integrity yangu ipo juu kuliko unavyodhani. Nawasilisha.
 
Waswahili wanasema akuanzae mmalize, Mamlaka ya Anga ya Tanzania imeliagiza shirika la ndege la Kenya kupunguza safari zake nchini kutoka 42 mpaka 14 kwa wiki.

Hii Jumuiya inaelekea kufa, Wakenya hawataki Fast Jet iende Nairobi na sisi tumepunguza safari za KQ
.



=====



An eye for an eye; tooth for tooth!
 
Last edited by a moderator:
Kenya wamemwaga mboga sis tunamwaga ugali.

Tupo wakimya hila tukiamua tunaweza.Imagine mtu anatua kwako mara 42 kwa wiki anaombwa kibali ya fastjet itue Kenya anagoma kutoa, huyo hafai na hana upendo wa dhati.Serikali ifanye mchakato tufufue shirika letu na tuanze filght za nje ya tanzania kama miaka ya 1980's mpka 1990's tulipokuwa tunaenda mpaka london na italy kwa kutunia ATC Boeing 707-300 or Boeing 737,Boeing 767, kama iliwezekana wakati huo hata sasa inawezekana tukiamua.Sasa watakuja mara 14 tu tanzania lazima watie akili.
 
Take it from Me,Kenya airways will not suffer any financial loss from the reduction of flights to TZ, Even if TCAA banned KQ from TZ completely.Remember KQ owns 41% of precision air.
 
acha movie iendeleee... kwahili naunga mkono Serikali ya JK 100%... Kama Watalii wanataka kuja Tanzania wapiti Dar na Kilimanjaro ... Tour Operators wa Bongo wafanye kazi zao kwa nafasi ... Yanini kuchoshana na majaluo kila siku ...
 
Back
Top Bottom