Tanzania yapaa juu!!!!!

Lakini pia ndiyo nchi pekee Duniani ambayo kila kukicha inazidi kudidimia, naifananisha na mmea ambao kila kukicha unazidi kudumaa, hauonyeshi matumaini ya kuzaa Matunda.
 

ni nchi ya kwanza mtoto wa rais anaikejeri serikali ya baba yake na chamachake kuwa haiwajibiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…