Tanzania yaongoza kwa mapato ya utalii Afrika Mashariki

Kenya walikuwa na corona na wakaji lock down and up. Ninawaza tu. Time will tell.
 
Bila Magufuli hizo ndege unazo nyea nyea usisingeziona
Acha upimbi magufuli Hela alizitoa mifukoni mwake ,unaabudu wafu mpaka Leo badilika.Ndo baadae mnakuja kupewa sijui U DC Kwa mapambio yenu alafu mna utashi mdogo . Uyo sponsor wenu ndo kaleta vilaza+chawa kibao
 
Acha upimbi magufuli Hela alizitoa mifukoni mwake ,unaabudu wafu mpaka Leo badilika.Ndo baadae mnakuja kupewa sijui U DC Kwa mapambio yenu alafu mna utashi mdogo . Uyo sponsor wenu ndo kaleta vilaza+chawa kibao
Kwani gaidi nae alilipia ndege?
 
Kwani gaidi nae alilipia ndege?
Baba wa familia unaishi Kwa kuabudu mtu ,familia yako inashida .live your life be a gentleman sio unaishi ki lamlilamli kama mganga wa kienyeji .Sio shabiki wa uyo unaemwita gaidi ila Mungu adhihakiwi anything can happen kwenye unafiki it's matter of time
 
Ayo tv imetoa taarifa hiyo kwa shaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…