Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kenya walikuwa na corona na wakaji lock down and up. Ninawaza tu. Time will tell.Tanzania imeongoza kwenye mapato ya utalii kwa nchi zote za Afrika mashariki kwa dola billion 2.6 na kuiacha mbali Kenya yenye dola billion 1.7 ikiwa nafasi ya pili.
My take.
Hili ni Jibu kwa wanaoponda ununuzi wa ndege ,
Huwezi kuwa na vivutio vingi vya utalii halafu ili hao watalii wafike kwako lazima wabebwe na ndege za jirani.
Nawahakikishia bila kuongeza ndege kuongoza kwenye mapato tungekusikia kwenye bomba tu.
RIP Magufuli .
muda mwingine unaweza kuhoji mapenzi ya Mungu kwa nini aliruhusu uondoke mapema na usione na kula matunda ya jasho lako.
Tanzania inaongoza kwa mapato ya utalii Afrika Mashariki Tanzania inaongoza kwa mapato ya utalii Afrika Mashariki – Millard Ayo TV
Acha upimbi magufuli Hela alizitoa mifukoni mwake ,unaabudu wafu mpaka Leo badilika.Ndo baadae mnakuja kupewa sijui U DC Kwa mapambio yenu alafu mna utashi mdogo . Uyo sponsor wenu ndo kaleta vilaza+chawa kibaoBila Magufuli hizo ndege unazo nyea nyea usisingeziona
Kwani gaidi nae alilipia ndege?Acha upimbi magufuli Hela alizitoa mifukoni mwake ,unaabudu wafu mpaka Leo badilika.Ndo baadae mnakuja kupewa sijui U DC Kwa mapambio yenu alafu mna utashi mdogo . Uyo sponsor wenu ndo kaleta vilaza+chawa kibao
Baba wa familia unaishi Kwa kuabudu mtu ,familia yako inashida .live your life be a gentleman sio unaishi ki lamlilamli kama mganga wa kienyeji .Sio shabiki wa uyo unaemwita gaidi ila Mungu adhihakiwi anything can happen kwenye unafiki it's matter of timeKwani gaidi nae alilipia ndege?
Ayo tv imetoa taarifa hiyo kwa shakaTanzania imeongoza kwenye mapato ya utalii kwa nchi zote za Afrika mashariki kwa dola billion 2.6 na kuiacha mbali Kenya yenye dola billion 1.7 ikiwa nafasi ya pili.
My take.
Hili ni Jibu kwa wanaoponda ununuzi wa ndege ,
Huwezi kuwa na vivutio vingi vya utalii halafu ili hao watalii wafike kwako lazima wabebwe na ndege za jirani.
Nawahakikishia bila kuongeza ndege kuongoza kwenye mapato tungekusikia kwenye bomba tu.
RIP Magufuli .
muda mwingine unaweza kuhoji mapenzi ya Mungu kwa nini aliruhusu uondoke mapema na usione na kula matunda ya jasho lako.
Tanzania inaongoza kwa mapato ya utalii Afrika Mashariki Tanzania inaongoza kwa mapato ya utalii Afrika Mashariki – Millard Ayo TV
Una habari Kenya wanazo ndege ngapi? Fanya research zaidi kuna sababu nyingine
Hizo pesa ziko wapi mbona Mama anatembea na bakuli huko Ughaibuni acha kulaghai Wananchi.billion 2.6 na kuiacha mbali Kenya yenye dola billion 1.7 ikiwa nafasi ya pili.