Tanzania yangu

Tanzania yangu

khalfanially3

Member
Joined
Mar 18, 2015
Posts
15
Reaction score
5
watanzania tunamatatizo mengi yanayotukabili, lakini tumeonekana zaidi tukiangalia Rais ameongea nini(sio watu wote) ili tumkosoe au tumpinge, nchi hii ikijengeka itajengwa na sisi wenyewe, Uchaguzi ulishaisha sasa ivi tujikite katika maendeleo jamani. sisi wote tulishiliki katika uchaguzi tukachagua na uchaguzi ukaisha. "Tanzania nakupenda tanzania, Napenda sana maendeleo na sio chama fulani, napenda sana watanzania pasipo kujali chama,dini wala kabila" huo ndio uwe wimbo wetu. Tumuache Rais atekeleze ahadi zake na tumuunge mkono kwakua maendeleo hayo ni yetu wote, kama hatokamilisha ahadi zake nadhani uchaguzi utapofika ndio tumchague huyo tutakaeona anatufaa,lakini kwasasa Yeye ndio kiongozi halali na ndio mkuu wetu. Mungu tubariki tanzania
 
JAPO CHUNGU NDIO DAWA

Kila matter ina maximum density na ikizidi LAZIMA ...

Japo ni chungu, Ndio dawa, NA TUTAINYWA WOTE

Pamoja na WOTE

Nani kasema njaa ina macho?

Msidhani bomu huchagua majengo

Kwake jengo ni UKUTA tu

Na litabomoa!
 
Tanzania ni nchi ya vyama vingi na kazi ya upinzani ni kukosoa maovu ya serikali, kama kula hela za rambirambi.
 
Hivi zanzibar alienda kupiga vijembe vya maendeleo ya jamii?
 
Ni kwel mtoa mada, lkn kukosolewa ni njia nzuri ya kumfanya kiongozi afanye vyema zaidi. yeye ni binadamu si malaika anahtaji apewe changamoto.
 
Kama mtu atoi ajira
Anakula pesa za rambi rambi
Ana nyima mikopo
Anafuta fao la kujitoa
Analeta shida mtaani hakuna pesa
Anazibiti vyombo vya habar
Anajiona mungu
Tumuache tuu wakati anatupoteza
Sijui we n Tanzania wa wap ww
 
Back
Top Bottom