MKomela Member Jun 6, 2017 27 16 Jun 7, 2017 #1 Tanzania yaigomea Rwanda kutumia Sehemu ya Anga la Tanzania kwa Mara Nyingine.
Poise JF-Expert Member May 31, 2016 7,633 7,912 Jun 7, 2017 #4 Katu hao jamaa siyo kabisaa ni wananko kinyama. "Kagame is a fish" hatutakiwa kuwa Karibu naye kiivyo kwenye ulinzi wa nchi yetu.
Katu hao jamaa siyo kabisaa ni wananko kinyama. "Kagame is a fish" hatutakiwa kuwa Karibu naye kiivyo kwenye ulinzi wa nchi yetu.
Who Cares? JF-Expert Member Jul 11, 2008 3,507 3,371 Jun 7, 2017 #6 Kuna may anapoteza ajira muda si mrefu....unakataa ombi la ndugu yake na babako. ...ahahahha yangu machoooรฒ
Kuna may anapoteza ajira muda si mrefu....unakataa ombi la ndugu yake na babako. ...ahahahha yangu machoooรฒ
Lodrick Thomas JF-Expert Member Jan 24, 2017 1,339 2,431 Jun 7, 2017 #7 Ivi magufuli si alisema atachukua wataalam wa IT kutoka rwanda?? Usijekuta wanabadilishana wataalam na anga!!!
Ivi magufuli si alisema atachukua wataalam wa IT kutoka rwanda?? Usijekuta wanabadilishana wataalam na anga!!!
South JF-Expert Member Jan 11, 2016 3,514 5,141 Jun 7, 2017 #8 Huyo aliyekataa aliwasiliana na Magu kweli? Kama ni NO basi kuna kutenguliwa kwa mtu sio muda mrefu.