Ile sura ya kibushman kabisa yaani.
Toka kipindi cha pili kinaanza jamaa ndio alikuwa anatusumbua. Alivyotoka tuu ndio tukapata goli.
I felt sorry for the boy...kwa kweli alikuwa na haki ya kulia becoz it wasnt fair at all kumtoa.
Kocha wa namibia kwa kweli haniambii kitu hii mechi amebet .