johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,123
Kiukweli heshima iliyojijengea Tanzania katika kulikomboa Bara la Afrika leo hii baadhi ya viongozi wetu wangekuwa kwenye Timu za Usuluhishi huko Mashariki ya Kati lakini ndio hivyo tena tumemezwa na Ufisadi. Walau Tundu Antipas Lissu pekee ndio anatuwakilisha huko Duniani.
Yaani unakuta nyakati tete kama hizi Mbowe ndio anaalikwa na Balozi wa Marekani. 😄😄😂
Mungu wa Mbinguni awabariki Mbowe na Tundu Lissu.
Yaani unakuta nyakati tete kama hizi Mbowe ndio anaalikwa na Balozi wa Marekani. 😄😄😂
Mungu wa Mbinguni awabariki Mbowe na Tundu Lissu.