Na ndio wameambiwa wazaane kwa wingi kwakuwa elimu watapewa bure, wakashangilia badala ya kuhoji vipi malazi na mavazi, huduma za afya, miundombinu, kilimo na mengineyo. Wanavijiji ni mtaji mkubwa sana wa chama chetu maana kimewakaa moyoni kama dini hata waitwe vilaza watatafsiri tofauti, wacha waugulie kimyakimya masna wameichagua wenyewe.