Dr Guitar tz
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 312
- 247
Ni mawazo yangu tu,ikiwa tutakua wote wamoja,tutumie Vizuri taaluma za watanzania toka vyama vyote kwa manufaa ya nchi ili kuiondoa nchi hapa ilipo sasa
Tupo nyuma sana km nchi,hivyo ni budi tuwe Na mshikamano mkubwa kuelekea mafanikio
Kama ni suala la vyama vingi lije baadae tutapokua Na uwezo wa kuviendesha Na kuvumiliana.
Tupo nyuma sana km nchi,hivyo ni budi tuwe Na mshikamano mkubwa kuelekea mafanikio
Kama ni suala la vyama vingi lije baadae tutapokua Na uwezo wa kuviendesha Na kuvumiliana.