kwa mujibu wa makala ndani ya mtandao wa BBC www.bbc.com/news/world-africa-34198626 Tanzania is among the worst 10 countries to grow old....yaani kwa lugha nyepesi sio nchi rafiki kwa wazee katika njanja za usalama wao, afya, bima za wazee na social interaction...nchi inayoshika mkia ni Afghanistan....