Eistein
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 1,107
- 482
Wadau salaamuu, kichwa cha habari cha husika.
Tumeona matukio mengi sana ambayo kwayo haikuwa desturi sana kuyasikia miaka takribani 15-20 iliyopita, miaka ya 2012-2014 tulishuhudia mapadri na mashekhe wakimwagiwa tindikali na kuuwa (zanzibar, na arusha).
Tunakumbuka kutekwa na kuteswa kwa dr. Ulimboka, kumwagiwa kwa tindikali kwa mmliki wa home shoping centre, mwandishi kubenea etc.
Tukashuhudia milipuko yaa mabomu katika mikutano ya kisiasa pamoja na kanisa la olasiti hapo arusha. Katika matukio haya yote mimi binafsi sijaona juhudi harisi za usalama zikichukuliwa, naweza sema ni kama zima moto yanapotokea hayo ndio tunaona tume zikiundwa na zikitumia fedha nyingi sana, lakini hatma ya hayo matukio/ripoti hubaki katika makabati watanzania tunasahau na kusubiri tena tukio lingine litokeee ndio kamati ziundwe.
Wahusika wa matukio hayao ni nadra sana kusikia wamekamatwa au huo mtandao kweli umethibitiwa, maana ungekuwa umedhibitiwa hayo matukio bila shaka yangekoma.
Enzi za nyerere ilikuwa ikihisiwa kuwa ukisema neno lolote baya juu ya serikali au ukitaka kufanya uhalifu basi muda si mrefu utakamatwa, lakini leo hali ni tofauti kabisa, je kama taifa wapi tumekosea??. Kama taifa sioni mkakati mathubuti wa usalama, polisi na vyombo vya usalama.
Binafsi naona vyombom vyetu vya ulizni na usalama vipo kimatukio zaidi lakini si watu wa kuweza kutrace jambo kabla halijatokea na kulidhibiti. Sasa juzi tumeona kijana mtanzania amekamatwa hapo kenya katika tukio la garrisa university , alikuwa mwanafunzi wa bihawana dodoma tena kijana mdogo tu form 5 (pcb), kwa melezo yake anakili kuwa alikuwa member wa alshababu.
Sasa ni vijana wangapi kama hawa tuko nao uraiani,ni wangapi wamesharubuniwa na magaidi.
Je kwa hali hii tunakoelekea je taifa liko salama??? Wapi tumekosea?? Nini kifanyike??;
Tumeona matukio mengi sana ambayo kwayo haikuwa desturi sana kuyasikia miaka takribani 15-20 iliyopita, miaka ya 2012-2014 tulishuhudia mapadri na mashekhe wakimwagiwa tindikali na kuuwa (zanzibar, na arusha).
Tunakumbuka kutekwa na kuteswa kwa dr. Ulimboka, kumwagiwa kwa tindikali kwa mmliki wa home shoping centre, mwandishi kubenea etc.
Tukashuhudia milipuko yaa mabomu katika mikutano ya kisiasa pamoja na kanisa la olasiti hapo arusha. Katika matukio haya yote mimi binafsi sijaona juhudi harisi za usalama zikichukuliwa, naweza sema ni kama zima moto yanapotokea hayo ndio tunaona tume zikiundwa na zikitumia fedha nyingi sana, lakini hatma ya hayo matukio/ripoti hubaki katika makabati watanzania tunasahau na kusubiri tena tukio lingine litokeee ndio kamati ziundwe.
Wahusika wa matukio hayao ni nadra sana kusikia wamekamatwa au huo mtandao kweli umethibitiwa, maana ungekuwa umedhibitiwa hayo matukio bila shaka yangekoma.
Enzi za nyerere ilikuwa ikihisiwa kuwa ukisema neno lolote baya juu ya serikali au ukitaka kufanya uhalifu basi muda si mrefu utakamatwa, lakini leo hali ni tofauti kabisa, je kama taifa wapi tumekosea??. Kama taifa sioni mkakati mathubuti wa usalama, polisi na vyombo vya usalama.
Binafsi naona vyombom vyetu vya ulizni na usalama vipo kimatukio zaidi lakini si watu wa kuweza kutrace jambo kabla halijatokea na kulidhibiti. Sasa juzi tumeona kijana mtanzania amekamatwa hapo kenya katika tukio la garrisa university , alikuwa mwanafunzi wa bihawana dodoma tena kijana mdogo tu form 5 (pcb), kwa melezo yake anakili kuwa alikuwa member wa alshababu.
Sasa ni vijana wangapi kama hawa tuko nao uraiani,ni wangapi wamesharubuniwa na magaidi.
Je kwa hali hii tunakoelekea je taifa liko salama??? Wapi tumekosea?? Nini kifanyike??;