Ripoti 2020: Tanzania miongoni mwa nchini 10 duniani zenye raia wake wasio na furaha katika maisha yao

M-mbabe

JF-Expert Member
Oct 29, 2009
13,203
23,020
Huu ndiyo ukweli wenyewe (soma kiambatanishi hapa chini).

Watanzania wengi mioyo yao ina miiba ila kwa sababu ya "ukondoo" wetu ni wachache tu wanaoweza kusimama na kusema "hapana - imetosha!".

Wapo huko mitaani, wapo mashuleni, wapo vyuoni, wapo huku serekalini (watumishi), wapo bungeni (upinzani & CCM) na pia wapo hata ndani ya cabinet ya sasa.

And personally I know why.
Kwa uchache tu.... wananchi kuwa wahanga wa matusi kama vile kuitwa malofa, wapumbavu, nyumbu, Corona, nk, nk, nk.
Hii ukiachilia mbali sisi watumishi wa umma kupitia katika kipindi kigumu sana ambacho hakijawahi kutokea katika ajira zetu tangu uhuru, biashara kuporomoka, halmashauri kunyimwa fedha za miradi inayogusa kwa karibu maisha ya wananchi - the list goes on and on.
2020-03-23.png
 
Hatuwezi kwa na furaha mpaka tutakapoanza kuwa responsible to our own wellbeing.. akili yet tuliowengi tunadhani Kuna mtu anapaswa kutuboreshea maisha. In short we are not responsible.( Ni ukwel mchungu,mtanisamehe)

Sent using Jamii Forums mobile app
hizi ndizo sentiments za ki MATAGA.

mtu kuboresha maisha yake kwahitaji mazingira wezeshi.... whose key pillars include good governance, fairness politically & freedom of expression - all of which are currently conspicuous in their absence!
 
hizi ndizo sentiments za ki MATAGA.

mtu kuboresha maisha kwahitaji mazingira wezeshi.... whose key pillars include good governance, fairness politically & freedom of expression - all of which are conspicuous in their absence!
He who prosper in difficult condition is a real hero....mitende isingekua jangwani mkuu. Hata sisi tunalo la kufanya. Hata viongozi tunaowachagua wanareflect tulivyo,tusilalamike sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom