Maswala ya kitaifa tuachane nayo kwasasa, tusubiri kuanzia mwaka 2015 huenda tukabahatisha uongozi, nina amini Kikwete akihojiwa kwa hili atasema kwani yeye ni Mungu mpaka azuie kushuka kwa thamani ya Shilingi? Na hayo mambo yenu ya sijui gold resrve na ku-PEG Currency yapo Technical sana yasubiri mpaka nchi itakapo pata wasomi ndani ya serikali wasiofanya mambo kisiasa. Ndulu ni msomi kateuliwa na Kikwete mwanasiasa na Kikwete amedondosha uchumi wa Nchi, unategemea Ndulu aseme nini?