Ha ha ha this must be a joke. Nitatoa wapi fedha za kuweka Uswiss? Sina bana. Kuna watu wenye chuki na mimi wameamua tu kuzusha suala hili ili kuziba hoja yangu ninayoipeleka Bungeni kuhusu mabilioni ya fedha zilizofichwa huko Uswiss. Nimefuatilia suala hili na mtafiti maarufu duniani kuhusu masuala haya ambaye alikuwa mbunge huko Afrika Kusini chini ya ANC. Mwezi Oktoba tunafanya mkutano wa pamoja kuieleza press suala hili kisha Bungeni napeleka hoja binafsi kutaka maazimio fulani fulani ya Bunge.
Nitasema tu. Suala hili sitaliacha. Nimelianza lazima nilimalize.