Tanzania sasa namba moja kwa utalii

Tanzania sasa namba moja kwa utalii

Na atoe ufafanuzi wa jinsi mapato yanavyopatikana na yanavyonufaisha wazawa. Amekumbilia kuandika utadhani ni juhudi zake mpaka kufanikisha hili.

Tatizo hawa CCM wanajua watanzania wa leo ni enzi za zidumu fursa za mwenyekiti kumbe hakuna, watanzania wa siku hizi hatudanganywi kizembe tunataka ufanisi uliotukuka kwenye kila wizara ikiwemo kila kiongozi kutenda kila linalotakiwa kuendana na mishahara wanayoipata kutokana na kodi zetu na wala sio kujineemesha wao na familia zao.
 
Sioni juhudi binafsi za nchi kama nchi. Naona zaidi God's favor ya kutujalia maliasili tulizokuwa nazo.
Naona juhudi za international organisations na research centers walizofanya juhudi kubwa kuzipigania na kuijengea uwezo tanapa kuweza kusimamia hizi resources. Kwa waliofanya kazi kwenye hifadhi wanajua michango ya frankfurt zoological societies, jane Goodall institutes, WCS, AWF na jinsi mara kadhaa wamehitilafiana na serikali ya ccm wasivune na kuharibu hifadhi kwa kichaka cha 'maendeleo'.

Leo hii wao ndio wanakuja juu kuwa wamefanikiwa.
Hasante, ongeza na vurugu za Kenya
 
Hakuna vipofu kama ccm duniani
ok, mheshimiwa Nyarandu 1+1=9,kwa kuwa ccm nambari one, jibu hilo kutokana na hulka yenu mbaya jibu hilo kwa mafisadi ni sahihi.
 
Sioni juhudi binafsi za nchi kama nchi. Naona zaidi God's favor ya kutujalia maliasili tulizokuwa nazo.
Naona juhudi za international organisations na research centers walizofanya juhudi kubwa kuzipigania na kuijengea uwezo tanapa kuweza kusimamia hizi resources. Kwa waliofanya kazi kwenye hifadhi wanajua michango ya frankfurt zoological societies, jane Goodall institutes, WCS, AWF na jinsi mara kadhaa wamehitilafiana na serikali ya ccm wasivune na kuharibu hifadhi kwa kichaka cha 'maendeleo'.
Leo hii wao ndio wanakuja juu kuwa wamefanikiwa.

....asante MKUU
 
Tanzania haiishi vituko, basi kama ndio hivi alikuwa na haki ya "KUMBEBA" yule askar wa wanyama pori....
 
Back
Top Bottom