Tanzania Project 2035

"Sitakubali nafasi yeyote serikalini ya kuteuliwa". This statement is like you're in the position of being appointed 🤣🤣🤣. Who knows you Hon President of Middlemen?
 
"Sitakubali nafasi yeyote serikalini ya kuteuliwa". This statement is like you're in the position of being appointed 🤣🤣🤣. Who knows you Hon President of Middlemen?
Winga ni changamoto.

Anatufuta teuzi kimkakati, baada ya kusoma kozi ya mchongo
 
"Sitakubali nafasi yeyote serikalini ya kuteuliwa". This statement is like you're in the position of being appointed 🤣🤣🤣. Who knows you Hon President of Middlemen?
Hakuna anayenijua sahivi ila uko baadae watanijua kwani ni kosa kuwa na malengo
 
Nchi nzima kupimwa na kila kata watakuwa na hardcopy ya 3d masterplan ya kata husika au kijiji husika, hakuna atakayejenga bila kufuata utaratibu
 
Mshindi wa pili kwenye uchaguzi wa viongozi wa kisiasa wa Rais basi atakua kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni
 
Napenda huyu ndugu anavyo onesha kuwa ni muhimu mgombea urais kuwa na maono yq mbali kuhusu nchi atakayo iongoza.

Hebu fikiria wagombea wote wange takiwa kueleza nini watafanya miaka mitano ya awamu ya urais na hii ifanyike kama usaili.
Licha ya ilani za vyama lakini wqgombea yafaa wahojiwe katika usaili maalum unaoshuhudiwa na nchi nzima kupitia runinga.
 
Mtihani kwenye shule za msingi za serikali na private utakuwa mmoja kama ilivyo kwa form four, ila hautakuwa sawa na International school
 
Space colonization
Develop artificial ozone layer of different planetActivate fusion activities of inactive starExploit natural satellite waves so as it can be used to facilitate communication
 

Ushampa mama na mwagulu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…