Tanzania postal Bank..

Tanzania postal Bank..

Mshahara ni mzuri ucwe na wac wac kuna friend wangu alipata kazi hapo na ni fresh graduate .mshahara lak 7 ukikatwa unabkia kwny lak 6 hv..na hapo ni wa kuanzia ukiendelea unapanda
 
kazi mbaya ukiwa nayo....ila mzee wabongo kwa kujiona bab kubwa,eti vilaki.wako wanaotafta hata kazi ya kuvolontea,hawapati.
 
Ungejua mishahara ya finca ilivyo juu ukilinganisha na bank zingine wala hata kwenye orodha apo usingeifananisha na bayport
 
  • Thanks
Reactions: amu
Ungejua mishahara ya finca ilivyo juu ukilinganisha na bank zingine wala hata kwenye orodha apo usingeifananisha na bayport

mkuu finca wana bei gani kwa loan officer na saving representative? nipe hata kadirio tu co lazma figure ya ukweli
 
Hahaha gross 500k,labda kama iwe imebadilika!!
Loan officer kwenye probation unapata Gross ya 550 ukimaliza probation unapata gross ya 650, baada ya mwaka unapewa gross ya 750,baada ya miaka miwili utapewa 800 mpaka 880 iyo itategemea na perfomance, Hivyo ni viwango vipya vya mishahara, Iyo ni source kutoka kwa mdau wa pale
 
mkuu finca wana bei gani kwa loan officer na saving representative? nipe hata kadirio tu co lazma figure ya ukweli
Saving repr. Gross ya 700, Loan officer kwenye probation gross ya 550,baada ya probation 650 mpaka gross ya 880 itategemea na muda uliokaa kazini na performance yako
 
Saving repr. Gross ya 700, Loan officer kwenye probation gross ya 550,baada ya probation 650 mpaka gross ya 880 itategemea na muda uliokaa kazini na performance yako

duh watu tumekomaa nyuma ya keyboard kuponda finca kumbe watu wanafanya maisha
 
Kweli ma benki ni majangaaa...ofisi nzuri tai kubwa mfukoni chengaaaa....

Siku ukiingia mtaani ndo utaitafuta hiyo chenga usiipate. Ndo utakapojua nini maana ya kazi

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Habari jf.Mwenye kujua tupia anwani ya tanzania postal bank na barua unaiandika kwenda kwa nani!with thanks
 
Mimi ni Afisa mikopo(Individual loan) hapo FINCA,gross yangu ni 800,000/= ukiachana na Bonus na vinginevyo,na nimemaliza chuo mwaka jana,so ktk kufananisha viwango vya mishahara huwezi kuiringanisha FINCA na benki uchwara zinazotoa 400,000/= mpaka 500,000/= kwa mwezi,so POSTAL BANK,BAYPORT,NMB,ETC sio levo za FINCA ya leo...........!
 
Mimi ni Afisa mikopo(Individual loan) hapo FINCA,gross yangu ni 800,000/= ukiachana na Bonus na vinginevyo,na nimemaliza chuo mwaka jana,so ktk kufananisha viwango vya mishahara huwezi kuiringanisha FINCA na benki uchwara zinazotoa 400,000/= mpaka 500,000/= kwa mwezi,so POSTAL BANK,BAYPORT,NMB,ETC sio levo za FINCA ya leo...........!

Finca hamna kitu bora uwe bodaboda mi washikaji zangu kibao wame acha pale...yani ni chengaa kazi stress maslahi hakuna.
 
Back
Top Bottom