yap kwa maelezo yaliyokuwepo kwenye sms waliyonitumia walisema majina yapo kwenye tovuti yao.
nikaingia sikuyakuta, nikaenda wizara ya mambo ya ndani. nikakutana na ofisa wa ICT wa jeshi la polisi,akaniambia wameshindwa kuyaweka majina hayo kwenye mtandao kutokana na hitilafu kwenye server yao.
hivyo akanionyesha majina hayo kwenye karatasi na jina langu lilikuwepo ktk graduates wanaotarajia kuwaajiri kwenye idara ya ICT.
ni hayo tu mkuu.