Tanzania ni ya 8 kwa ufisadi kanda ya Africa Mashariki

zinyalulu

JF-Expert Member
Jan 8, 2015
420
224
Tanzania imetajwa kuwa nchi ya nane kwa ufisadi katika nchi kumi za kanda ya Afrika Mashariki.Nini maoni yako juu ya vita dhidi ya ufisadi?

=====================

Katika kanda ya Afrika Mashariki , mali ya umma inafujwa sana na viongozi wa serikali hali ambayo inaiweka mataifa ya kanda katika nafasi za mwisho mwisho kuashiria viwango vya juu vya ufisadi.

Kati ya mataifa kumi Fisadi zaidi duniani Somalia inaongoza ikifwatwa na Sudan ,Sudan Kusini, Eritrea, Burundi, DRC, Uganda, Kenya Tanzania Ethiopia na kisha Rwanda katika usanjari huo.

Somalia inaongoza kwa Ufisadi duniani katika nafasi ya 167.

Viwango vya ufisadi vinanasibishwa na Korea Kaskazini.

Nchi iliyojitenga kabisa na ufisadi kanda ya Afrika Mashariki na kati ni Rwanda.

Orodha ya mataifa 10 fisadi zaidi kanda ya Afrika Mashariki na Duniani.

1. 167 Somalia / Korea Kaskazini

2. 165 Sudan

3. 163 South Sudan/ Angola

4. 154 Eritrea/Yemen / Turkmenistan / Syria

5. 150 Burundi / Zimbabwe

6. 147 Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo / Chad / Myanmar /

7. 139 Kenya / Uganda

8. 117 Tanzania

9. 103 Ethiopia

10. 44 Rwanda


Chanzo: bbc
 
Shirikisho la Kupambana na Ufisadi Duniani (International Transparency) limetoa orodha ya mataifa fisadi zaidi Dunia.

Katika orodha hiyo, Nigeria siyo taifa linaloongoza kwa ufisadi duniani kama alivyosikika Waziri Mkuu wa Uingereza David Cameroon akiteta na Malkia wa nchi hiyo kuwa viongozi wa mataifa fisadi zaidi duniani, Nigeria na Afghanistan watakuwepo Uingereza kuhudhuria mkutano masuala rushwa aliouandaa.

Katika orodha hiyo, Nigeria imeorodheshwa katika nafasi ya 136 kati ya mataifa 167 duniani.
Katika ukanda wa Mashariki mwa Afrika viongozi wengi wa mataifa haya wametuhumiwa kwa matumizi mabaya ya mali za umma kitu kilichosababisha mataifa hayo kuwa katika nafasi za mwisho ikiashiria viwango vya juu vya ufisadi.

Wakati taifa la Somalia likiwa kinara wa ufisadi duniani na ukanda wa Mashariki mwa Afrika likishika nafasi ya 167 kati ya nchini 167, Rwanda imeonekana kuwa ndilo taifa linalofanya vizuri zaidi kwa kuwa na kiwango kidogo cha ufisadi kati ya nchi 10 za ukanda wa Mashariki mwa Afrika. Rwanda imeorodheshwa katika nafasi ya 44 duniani na nafasi ya 10 ukanda wa Mashariki mwa Afrika.

Tanzania imeorodheshwa katika nafasi ya 117 duniani kati ya nchi 167 na nafasi ya 8 kati ya nchi 10 za ukanda wa Mashariki mwa Afrika.

Hii hapa ni orodha ya nchi fisadi zaidi ukanda wa Mashariki mwa Afrika na nafasi zilizoorodheshwa kati ya nchi 167 duniani.
1. 167 Somalia / North Korea
2. 165 Sudan
3. 163 South Sudan/ Angola
4. 154 Eritrea/Yemen / Turkmenistan / Syria
5. 150 Burundi / Zimbabwe
6. 147 Democratic Republic of the Congo / Chad / Myanmar /
7. 139 Kenya / Uganda
8. 117 Tanzania
9. 103 Ethiopia
10. 44 Rwanda
 
ulishafika hizo nchi 1 na mbili au ni mihumuko kama mla nyama za mbwa. Hizi ni tafiti dispute facts with facts sio story za vijiweni
 
MWENYE ENZI MUNGU IBARIKI TANZANIA NA WATU WAKE MILELE YOTE ....AMEN RA
 
ulishafika hizo nchi 1 na mbili au ni mihumuko kama mla nyama za mbwa. Hizi ni tafiti dispute facts with facts sio story za vijiweni
Kuna watu vidole vyao vinawasha ndo maana wanaandika tu wanachojisikia. Hawajui kuwa matokeo hayo yametokana na utafiti wa kina
 
Mpaka 2025, JPM atakuwa keshatusogeza mbele, si ajabu safari za nje alianzia rwanda! Anazungumza lugha moja na Kagame, Mungu amlinde ma kumuongoza.
 
Tanzania imetajwa kuwa nchi ya nane kwa ufisadi katika nchi kumi za kanda ya Afrika Mashariki.Nini maoni yako juu ya vita dhidi ya ufisadi?

=====================

Katika kanda ya Afrika Mashariki , mali ya umma inafujwa sana na viongozi wa serikali hali ambayo inaiweka mataifa ya kanda katika nafasi za mwisho mwisho kuashiria viwango vya juu vya ufisadi.

Kati ya mataifa kumi Fisadi zaidi duniani Somalia inaongoza ikifwatwa na Sudan ,Sudan Kusini, Eritrea, Burundi, DRC, Uganda, Kenya Tanzania Ethiopia na kisha Rwanda katika usanjari huo.

Somalia inaongoza kwa Ufisadi duniani katika nafasi ya 167.

Viwango vya ufisadi vinanasibishwa na Korea Kaskazini.

Nchi iliyojitenga kabisa na ufisadi kanda ya Afrika Mashariki na kati ni Rwanda.

Orodha ya mataifa 10 fisadi zaidi kanda ya Afrika Mashariki na Duniani.

1. 167 Somalia / Korea Kaskazini

2. 165 Sudan

3. 163 South Sudan/ Angola

4. 154 Eritrea/Yemen / Turkmenistan / Syria

5. 150 Burundi / Zimbabwe

6. 147 Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo / Chad / Myanmar /

7. 139 Kenya / Uganda

8. 117 Tanzania

9. 103 Ethiopia

10. 44 Rwanda


Chanzo: bbc
Sijui hivyo vigezo walivyovitumia kupima pia huwa vinatumika katika nchi husika kupima hicho walichokipima? Mfano sisi wakwe na wazazi wakifariki au kupata matatizo makubwa ofisi ya umma husaidia kushughulikia kibinadamu. Kwao hicho kitu hakipo. Hivyo mtu huyu akija kukupimeni kwa vigezo hivyo atakukuteni ni wapotofu tu. Lakini akitumia vigezo vyetu kulingana na mila na desturi zetu hatuta onekena wabadhilifu.
Siku nyingine someni tu na kupata ufahamu wa kilichoandikwa na kupata ufahamu wa namna ya kufanya tafiti na kufikia hitimisho
 
Back
Top Bottom