Tanzania ni taifa la aliens?

My Son drink water

JF-Expert Member
Nov 30, 2016
4,932
13,283
Nina shaka kubwa na Wananchi wa Tanzania Kama ni Binadamu wa kawaida hapa Duniani.

Nahisi wana ukoo au nasaba na aliens, Binadamu wa kawaida huonyesha hisia zao juu ya kadhia yoyote ile.

Watanzania hawako hivyo, mwaka 1998 bei ya mafuta ya Petrol ilikuwa sh 550 kwa Lita na Diesel sh 650 kwa Lita.

Pesa yenye thamani kubwa ilikuwa hii hii noti ya sh elfu kumi.
Leo hii 2020 mafuta ya Petrol kwa Lita moja ni Sh 2500 na baadhi ya miji ni Sh 2700 kwa Pesa hii hii.

Waliokuwepo kipindi kile wapo hadi leo na hawahisi maumivu yoyote ya ugumu wa maisha.
Pesa haina thamani hata kidogo, sh elfu ni sawa hamna tu.

Sukari imepanda nchi nzima bila sababu za msingi, Huduma za Afya ni mbovu, Kama huna pesa ya kutibiwa Private Hospital na unaumwa ugonjwa mkubwa ujue umekwisha.

Watu wamefukuzwa kazi maelfu kwa maelfu na kuporwa mafao yao, ukimya mkosoaji wa serikali wewe ni mhaini unachimba kaburi lako mwenyewe.

Elimu imekufa, Television ya Taifa ina kazi moja tu, kumsifia kiongozi mmoja, mtakatifu asiyekosea.

Ma jobless wamejaa mitandaoni kuisifia serikali iliyoshindwa kuwajibika kwa Wananchi.
Hakika Tanzania imejaa aliens.
 
Kwa ambao watahitaji picha ya aliens
images.jpeg


Na hivyo ndivyo walivyo watanzania kwa mujibu wa mweka mada😅
Siku ukitufananisha na shetani pia nite ninayo self yake kenge.
 
Ngoja waje kukujibu kwa kutumia 'facts' zao za uchumi kukua kwa wastani wa 7% kila mwaka! Pato la Taifa kuongezeka kutoka shilingi ngapi sijui mpaka ngapi!

Kipato cha kila Mtanzania kuongezeka kutoka laki ngapi mpaka laki ngapi kwa mwaka!! Mfumuko wa bei kwa mwezi Machi kushuka kutoka 4.1% mpaka 4.0%!!
 
Kuna bwana mmoja nasikia aliwahi kumwambia "mwalimu" enzi hizo eti anaongoza maiti.
 
Nina shaka kubwa na Wananchi wa Tanzania Kama ni Binadamu wa kawaida hapa Duniani.

Nahisi wana ukoo au nasaba na aliens, Binadamu wa kawaida huonyesha hisia zao juu ya kadhia yoyote ile.

Watanzania hawako hivyo, mwaka 1998 bei ya mafuta ya Petrol ilikuwa sh 550 kwa Lita na Diesel sh 650 kwa Lita.

Pesa yenye thamani kubwa ilikuwa hii hii noti ya sh elfu kumi.
Leo hii 2020 mafuta ya Petrol kwa Lita moja ni Sh 2500 na baadhi ya miji ni Sh 2700 kwa Pesa hii hii.

Waliokuwepo kipindi kile wapo hadi leo na hawahisi maumivu yoyote ya ugumu wa maisha.
Pesa haina thamani hata kidogo, sh elfu ni sawa hamna tu.

Sukari imepanda nchi nzima bila sababu za msingi, Huduma za Afya ni mbovu, Kama huna pesa ya kutibiwa Private Hospital na unaumwa ugonjwa mkubwa ujue umekwisha.

Watu wamefukuzwa kazi maelfu kwa maelfu na kuporwa mafao yao, ukimya mkosoaji wa serikali wewe ni mhaini unachimba kaburi lako mwenyewe.

Elimu imekufa, Television ya Taifa ina kazi moja tu, kumsifia kiongozi mmoja, mtakatifu asiyekosea.

Ma jobless wamejaa mitandaoni kuisifia serikali iliyoshindwa kuwajibika kwa Wananchi.
Hakika Tanzania imejaa aliens.
Watu wa nchi hii Mungu anatuona
 
Nina shaka kubwa na Wananchi wa Tanzania Kama ni Binadamu wa kawaida hapa Duniani.

Nahisi wana ukoo au nasaba na aliens, Binadamu wa kawaida huonyesha hisia zao juu ya kadhia yoyote ile.

Watanzania hawako hivyo, mwaka 1998 bei ya mafuta ya Petrol ilikuwa sh 550 kwa Lita na Diesel sh 650 kwa Lita.

Pesa yenye thamani kubwa ilikuwa hii hii noti ya sh elfu kumi.
Leo hii 2020 mafuta ya Petrol kwa Lita moja ni Sh 2500 na baadhi ya miji ni Sh 2700 kwa Pesa hii hii.

Waliokuwepo kipindi kile wapo hadi leo na hawahisi maumivu yoyote ya ugumu wa maisha.
Pesa haina thamani hata kidogo, sh elfu ni sawa hamna tu.

Sukari imepanda nchi nzima bila sababu za msingi, Huduma za Afya ni mbovu, Kama huna pesa ya kutibiwa Private Hospital na unaumwa ugonjwa mkubwa ujue umekwisha.

Watu wamefukuzwa kazi maelfu kwa maelfu na kuporwa mafao yao, ukimya mkosoaji wa serikali wewe ni mhaini unachimba kaburi lako mwenyewe.

Elimu imekufa, Television ya Taifa ina kazi moja tu, kumsifia kiongozi mmoja, mtakatifu asiyekosea.

Ma jobless wamejaa mitandaoni kuisifia serikali iliyoshindwa kuwajibika kwa Wananchi.
Hakika Tanzania imejaa aliens.
Sasa Aliens mbona ni viumbe wenye akili sana,inavyo semekana search Area 51.
 
Ndo Kwanza tunaelekea 60 years Tangu Tupate Uhuru. Relax. Nchi yetu ni changa Sana bado.

Zile Orodha za WB na IMF ndo zinatuchanganyaja Sana wabongo kwamba sisi ni 3rd World. Wanatushindanisha na nchi kama Britain, China etc zilizoanza kujiendesha miaka Hiyo. Ila ukweli ni kwamba tulichelewa tu kuanza.

Ila hapo kwenye Inflation Duuuuuh. Htr.
 
Back
Top Bottom